Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,023
- 2,736
Wengi tunachokosea ni kutokujipa kipaumbele. Wengi hatujui kuwa kabla hujawaza kumpenda mtu unatakiwa wewe ndiyo ujipende kwanza. Na kama utajipenda hautakubali kupelekwa mchakamchaka na mtu mliyekutana few months/years back.Tunaishi kwa kuviziana saivi, funny but not funny daah😂😂
Stress za mapenzi ni za kuzikataa kabisa, kwanza zinaepukika kuliko kuforce mambo mwisho wa siku ndio yale yale ya kuchomana na petrol mara huyu kachomwa kisu kisa wivu wa mapenzi.
Hali ni inatishaaa!
Ukiona huyu hatuwezani bora usepe zako kwa amani tu kuepusha shari hasa kama unajijua una short temper.
Tunachokosea tunapenda mpaka kujisahau kabisa, tunasahau hata umuhimu wa kuthamini hisia zetu.