kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,595
- 6,628
Mkuu huyo unaemjibu haeleweki, uwezo wa kujenga hoja hana ni mweupe sana utajichosha bure.nyalandu aliondoka lini? na huko ccm alifukuzwa lini? acha uongo hilo bunge limemtema wapi wakat spika hajui wala hajapata barua ya nyalandu kweli kawayumbisha