Achukibesi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 234
- 77
Hata sasa hakuna aliyejibu hoja za Nyalandu za kwanini kahama ccm, wote wamemshambulia binafsi badala ya kuja na hoja zilizojitosheleza kumpinga kile alichosema
Unachokiona sio mashambulizi bali ni ufukuaji wa maovu yake ambayo yanajulikana.