Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
- Thread starter
- #121
Je Nyalandu kuna kipindi wabunge waliwahi kupinga bajeti kwa ajili ya wizara aliyowahi kuifanyia kazi?Wakati wanyama wanabebwa yeye hakuwa waziri!!
5.Baada ya Rais Magufuli kupata Urais alianza kusafisha Chama je Nyalandu aliwahi kufukuzwa?
Udhalimu upi huo?
Kuiondoa CCM bila kujua atachukua nani itakuwa utaahira mkubwa. Wanasiasa wenyewe wanaoharibu ndio wanacheza kila upande...bora zimwi likujualo. Halikuli ukakwisha.
Wapinzani nadiriki kusema bado sana...they think they can survive by eating left overs!! Hakunaga hicho kitu.
Tuhuma zote za Nyalandu zilianzishwa na CHADEMA. Hakuna hata siku moja CCM walimuanzishia tuhuma Mh. Nyalandu. Kinachoshamgaza ni ujasiri wa Nyalandu kuhamia chama kilichomtuhumu kwa nguvu nyingi na kumnyang'anya tonge mdomoni akiwa waziri na hivyo kuiokoa serikali na nchi kupoteza mapato kibao. Na pia inashtua kuona CHADEMA kumpokea bila kukanusha kuwa tuhuma walizoanzisha kuhusu Nyalandu zilikuwa fake yaani feki