Wewe unaamini/unajua kuwa Kinana anahusika?Labda Kaja kurekebisha Makosa lakin bado anarudia Makosa
Anasema Katika Mchezo wa kununua Viongozi wa Chadema anaamini Mh.Kinana hahusiki Bali ni
Mchezo wa Wanasiasa wapya wa CCM
Wewe unaamini/unajua kuwa Kinana anahusika?
Kumwangalia Mashinji nikupoteza muda.Ngoja tuone leo anaongea nini
Naona kila siku unajitahidi kukandia JPMNgoja tuone leo anaongea nini
Hivi Mbowe alimtolea wapi huyu kamanda Mashinje?Labda Kaja kurekebisha Makosa lakin bado anarudia Makosa
Anasema Katika Mchezo wa kununua Viongozi wa Chadema anaamini Mh.Kinana hahusiki Bali ni
Mchezo wa Wanasiasa wapya wa CCM
Huyu alikuwa Architecture wa Mgomo wa Madaktari wakat wa jk na Dr Ulimboka akafanywa Kiongozi wa MgomoHivi Mbowe alimtolea wapi huyu kamanda Mashinje?
Dah...sasa kama jamaa na Phd ya maandamano mbona Operesheni UKUTA iligonga ukuta?Huyu alikuwa Architecture wa Mgomo wa Madaktari wakat wa jk na Dr Ulimboka akafanywa Kiongozi wa Mgomo
Huyu alifaa sana wakat wa jk kwa kuwa Chadema kiliwekeza kwny Migomo Siku hizi wamewekeza kwny tweeter na clip za kwny wasap ndio sababu Katibu Kapwaya
Mbowe ndio anawapenda viongozi kama Mashinji ili akitafuna ruzuku asiulizweHuyu alikuwa Architecture wa Mgomo wa Madaktari wakat wa jk na Dr Ulimboka akafanywa Kiongozi wa Mgomo
Huyu alifaa sana wakat wa jk kwa kuwa Chadema kiliwekeza kwny Migomo Siku hizi wamewekeza kwny tweeter na clip za kwny wasap ndio sababu Katibu Kapwaya
Akili za ukarai?Kamanda huyu ana "akili" sana.
We una kitu gani cha ajabuHuyu alikuwa Architecture wa Mgomo wa Madaktari wakat wa jk na Dr Ulimboka akafanywa Kiongozi wa Mgomo
Huyu alifaa sana wakat wa jk kwa kuwa Chadema kiliwekeza kwny Migomo Siku hizi wamewekeza kwny tweeter na clip za kwny wasap ndio sababu Katibu Kapwaya