dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
1. Magufuli alisema kazi ya urais ni kazi ngumu sana anatamani aondoke hata leo, lakini bado kachukua fomu ya kuomba kuongoza dola (sio fomu ya kuomba nafasi ya chama kuwa mgombea). Na tena fomu ilikuwa moja tu.
2. Naona wakuu wa mikoa, wilaya, DED na wateule karibia wote wanataka kuwa wabunge sijajua huko bungeni kuna nini? Kinachokimbiliwa
3. Jimbo moja watia nia wanazidi 500 kwa vyama vyote najiuliza nafasi moja ya kazi wanaomba ni zaidi ya 500 shida ni kubwa ya ajira na walio na ajira hazina maslai kwa jicho lingine hivyo kipato cha uchumi wa kati ni wazi hakigawanywi sawa kwa taifa.
4. Je, kwenye nafasi za kisiasa kuvamiwa na watu wengi hivi ni dalili gani kwa taifa?
A) Inalipa kuliko kazi nyingine zote
B) Vigezo vya kujua kusoma na kuandika kiswahili vinavutia wengi hata wasio kwenda shule
C) Ni kazi rahisi?
D) Ukosefu wa ajira nchini?
2. Naona wakuu wa mikoa, wilaya, DED na wateule karibia wote wanataka kuwa wabunge sijajua huko bungeni kuna nini? Kinachokimbiliwa
3. Jimbo moja watia nia wanazidi 500 kwa vyama vyote najiuliza nafasi moja ya kazi wanaomba ni zaidi ya 500 shida ni kubwa ya ajira na walio na ajira hazina maslai kwa jicho lingine hivyo kipato cha uchumi wa kati ni wazi hakigawanywi sawa kwa taifa.
4. Je, kwenye nafasi za kisiasa kuvamiwa na watu wengi hivi ni dalili gani kwa taifa?
A) Inalipa kuliko kazi nyingine zote
B) Vigezo vya kujua kusoma na kuandika kiswahili vinavutia wengi hata wasio kwenda shule
C) Ni kazi rahisi?
D) Ukosefu wa ajira nchini?