Official Amo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 985
- 1,211
Baba ake mzazi .
Baba ake mzazi .
naona hii thread inapigwa mawe na jinsia "ke"
kwa kuwaambia ukweli,mmezidi kuomba mno.
Mwambie umeshajua anachotaka akwambie so hata akiacha tu haina shida
Basi siku zote nilikuwa najua we mwanaume... dah nimepoteza bahati mimi wallah...Ndiyo wanaume mliobakia sikuhizi ....je kama anataka kukwambia bebi peleka barua kwetu????
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjibu hivi:Nimefariki!Ntafufuka jumatatu ya Pasaka.Kweli kabisa... nikwepeje mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi siku zote nilikuwa najua we mwanaume... dah nimepoteza bahati mimi wallah...
Hahahaha
Usimdhini sio mke wako huyo kamtolee mahari uoe ndiyo umzini......Baba ake mzazi .
Hahahahahahahaahahahah jamaniBasi siku zote nilikuwa najua we mwanaume... dah nimepoteza bahati mimi wallah...
Hahaha hahahaMjibu hivi:Nimefariki!Ntafufuka jumatatu ya Pasaka.
Duh! Lkn hata Nyie si mnaombanaona hii thread inapigwa mawe na jinsia "ke"
kwa kuwaambia ukweli,mmezidi kuomba mno.
😂😂😂😂😂 kanali hewa uyuKanali gani unakuwa mzembe hivyo