Naona kama Wanawake wengi hawapiki chakula cha waume zao

Kuna mwanamke mmoja namfahamu, ni ndugu yangu na ni mama tu wa nyumbani, hachangii chochote kwenye kipato cha familia, mme wake anafanya kazi Nzuri ya kuendesha scania za kupeleka mizigo nchi jirani, na Kipesa mume anahudumia familia vizuri tu, lakini kazi ya kupika msosi wa mume, mara nyingi, asilimia 90% anaachiwaga housegirl, hapo unasemaje, Raha ya mke anipikie bhana Karma
Huyo sasa siyo mke ni mzigo, yani mke mama wa Nyumbani halafu anashindwa kumpikia mumewe kwa misingi ipi.
 
1.Hamna kitu kizuri kama kula chakula kilichopikwa na mke wako.

2.Hamna kizuri kama kula pamoja hasa chakula cha jioni kwenye meza moja, mume, mke na watoto. Hiki kitu kizuri sana kinajenga umoja na uimara wa familia,kinamsaidia hata mzazi kujua yanayo endelea kwenye familia na watoto wako, japo siku hizi watoto walio wengi wananyimwa nafasi hii na wazazi wao kila mtu yupo busy ,kutoka 12 asubuhi kurudi 4 usiku watoto washalala,weekend ikifika wanaenda kushinda bar na marafiki zao.

Nisiwe mwongo mimi moja ya vigezo vyangu mwanamke nitakaye muoa lazime ajue kupika na lazima katika wiki, basi siku tano lazima tule mlo wa jioni kwenye meza moja na watoto FULL STOP ,ubeijing,hawa 50/50 naomba Mungu wanipitie pembeni kabisa.
Mkuu unahudumia familia lakini au na wewe ndio wale wale wa maisha kusaidiana, kutaka Mkeo akusaidie majukumu yako ya kutafuta pesa na kuhudumia familia.
 
Huyo sasa siyo mke ni mzigo, yani mke mama wa Nyumbani halafu anashindwa kumpikia mumewe kwa misingi ipi.
Wanawake wengi ninyi ni mizigo kwenye mahusiano, maana iyo ni nature yenu, hata simlaumu huyo ndugu yangu Karma
 
Mkuu unahudumia familia lakini au na wewe ndio wale wale wa maisha kusaidiana, kutaka Mkeo akusaidie majukumu yako ya kutafuta pesa na kuhudumia familia.
Sijajua kwa wengine hao wanaume unao wazungumzia wewe, mimi wajibu wangu kwa mke wangu na watoto wangu naujua na nitamuoa yule nimtakae mimi na atakayekizi vigezo vyangu FULL STOP,hao wengine 50/50,wabeijing watawapata wenzao wakuumizana nao vichwa kwani kupanga ni kuchagua.
 
Wanaume wengi hatuna mda wa kusubiri chakula nyumbani,unakuta upo kwenye mishe nyingi au kazi za ofisini ,msosi wa nyumbani utakupotezea mda tu ,chai ya kusubiri,lunch mpaka iive tayari saa nane ,mwanamke anaweza kuanzia kupika kuanzia saa tano huko yeye anaonja jikoni we mwanaume mpaka usubiri msosi uive huna ham tena
 
Wengine unakuta wanaishi nyumba moja lakini hawana mawasiliano kila mtu na chumba chake.
 
1.Hamna kitu kizuri kama kula chakula kilichopikwa na mke wako.

2.Hamna kizuri kama kula pamoja hasa chakula cha jioni kwenye meza moja, mume, mke na watoto. Hiki kitu kizuri sana kinajenga umoja na uimara wa familia,kinamsaidia hata mzazi kujua yanayo endelea kwenye familia na watoto wako, japo siku hizi watoto walio wengi wananyimwa nafasi hii na wazazi wao kila mtu yupo busy ,kutoka 12 asubuhi kurudi 4 usiku watoto washalala,weekend ikifika wanaenda kushinda bar na marafiki zao.

Nisiwe mwongo mimi moja ya vigezo vyangu mwanamke nitakaye muoa lazime ajue kupika na lazima katika wiki, basi siku tano lazima tule mlo wa jioni kwenye meza moja na watoto FULL STOP ,ubeijing,hawa 50/50 naomba Mungu wanipitie pembeni kabisa.
Kaka ukioa na ukapata watoto usisahau feedback
 
Wengi hawapendi vyakula vya home, ukute mke hajui kupika vizuri, ili kuepusha ugomvi usio na lazima anakula kwanza nje kisha home anadonoa donoa tu
Nikigundua hili wa kwangu nitamuambia ajifunze mapishi kupitia youtube
 
Back
Top Bottom