Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 568
- 1,562
Kuna mambo yanaenda naona kama yanapelekwa Faster Faster sana, sasa sijui ni Kumvizia Lissu ili kabla hajarudi barabarani iwe tayari Mission Accomplished.
Maanake Lissu alikua anagusa kila issue yenye masilahi mapana ya Taifa aidha inayofanywa au inayotarajiwa kufanywa.
Hebu fuatilia issue kama hizi alafu zihusishe na kutokuwepo kwa kaka mkubwa Lissu
Pona haraka Lissu nchi inakuhitaji sana, tumeona gap lako kwa muda mfupi tuu.
Maanake Lissu alikua anagusa kila issue yenye masilahi mapana ya Taifa aidha inayofanywa au inayotarajiwa kufanywa.
Hebu fuatilia issue kama hizi alafu zihusishe na kutokuwepo kwa kaka mkubwa Lissu
- Issue ya Nkamia/CCM ya raisi kubaki miaka 7
- Mikopo yenye Riba kubwa
- Kufungwa kwa baadhi ya Migodi
- Matoke ya Vikao vya majadiliano ya Makanikia (Hatuambulii kitu hapa)
- n.k
Pona haraka Lissu nchi inakuhitaji sana, tumeona gap lako kwa muda mfupi tuu.