OK mkuu. Basi fanya sana ibada kumshukuru Mungu kwa kukuwezesha kujitambuwa ,,Duh! Mbona nilishayasahau hayo mkuu, aged now
😂 😂 😂Cha Kwanza kinga bega uchanjwe, kisha endelea kupiga nyungu maana kuna mgeni mpya wa kirusi cha UVIKO 19 anaitwa lamda.
Nilishapita huko siku nyingi, nikayakataa maisha ya uzeemkuu na wewe yatakufika tu
Ushagawa urithi?Uchumi wangu wa kati, umri kati ya 65-70yrs nacheza hapo bila ya shaka
Yaani hadi unafika 60+ ulikuwa bado tu unaendelea na pombe na ganja? ukishafikisha 45 inabidi uanze kuachana na hivyo vitu.Mkuu King Kong nimezaliwa kipind kile cha Tanzania ilikumbwa na njaa kali, for approximation 65->70yrs
Nenda ukapime Tezidume bro.Habari wadau
Kama heading inavyojionesha hapo wakuu.
Nina kama mwezi hiv najikuta nimebadilika sana kitabia, busara imepanda sana, watot wazur sina mpango nao hata wakinishobokea sina time nao
Napendelea kuvaa msuli kwa sana, sina mpango na ganja kabisa pombe ndo siihitaji kabisa
Nimeanza kusoma magazeti ya nipashe, mwananchi, habari leo.
Bila ya shaka nimeanza kuona uzee huo umeanza kugonga hodi (so sad)
Sasa wadau nimekuja kwenu kutaka ushauri wenu vitu vipi ningeendlea kuvimaintain zaid na kama kuna vya kuongezea katika lika hili la uzee na vip vya kuviepuka
Jf kisima cha maarifa
Ushirikiano wenu wakuu
Kukaa sana kivip mkuu?Sijaelewa huo uzee wako ni wa Umri au akili tu inakuambia umezeeka kumbe una 50 tu
Kama unaona kweli uzee unakunyemelea kiumri basi usiache matembezi hata maili moja asubuhi na jioni
Pia kama uko mjini kazi ni muhimu sana ila sio ya kujichosha
Epuka kukaa sana
Kula vizuri