Naona kama uzee umeshaanza kunisogelea. Ushauri wenu

Kama alivyokoment mkuu hapo juu kula chanjo kwanza kisha tuendeleeeee
JamiiForums1934419226.jpg
 
Cha Kwanza kinga bega uchanjwe, kisha endelea kupiga nyungu maana kuna mgeni mpya wa kirusi cha UVIKO 19 anaitwa lamda.
Mkuu achana na hiyo korona kwanza, rud ktk mada hapo juu
 
Anza kujiandaa kwa vitu vifuatavyo:

1. Afya yako iwe kipaumbele. Kisukari, presha ni magonjwa ya uzee. Punguza matumizi ya Sukari, mafuta na vilevi. Fanya mazoezi madogo madogo.

2. Akiba itakayokusaidia kipindi cha uzee wako iwe kipaumbele. Kama una miradi iendeleze zaidi. Kama kuna kanyumba bado hujamalizia, fanya namna iishe.

3. Focus na familia yako haswa mkeo na watoto. Achana na starehe za kipuuzi. Michepuko ipotezee. Tamaa ya watoto wadogo, ishinde.

4. Kuwa karibu na Mungu. Zidisha ukaribu wako na muumba wako kwa sababu siku zako za kuishi ni chache kuliko zile ambazo tayari uneshatumia.
 
Anza kujiandaa kwa vitu vifuatavyo:

1. Afya yako iwe kipaumbele. Kisukari, presha ni magonjwa ya uzee. Punguza matumizi ya Sukari, mafuta na vilevi. Fanya mazoezi madogo madogo.

2. Akiba itakayokusaidia kipindi cha uzee wako iwe kipaumbele. Kama una miradi iendeleze zaidi. Kama kuna kanyumba bado hujamalizia, fanya namna iishe.

3. Focus na familia yako haswa mkeo na watoto. Achana na starehe za kipuuzi. Michepuko ipotezee. Tamaa ya watoto wadogo, ishinde.

4. Kuwa karibu na Mungu. Zidisha ukaribu wako na muumba wako kwa sababu siku zako za kuishi ni chache kuliko zile ambazo tayari uneshatumia.
Pamoja mkuu, ahsante kwa ushauri maridhawa
 
Hujataja vitu viwili vya msingi sana kwenye mada yako;
1. Uchumi wako unasimamia wapi kwa sasa.
2. Umri wako.

Baada ya hapo tutajua ushaanza kuzeeka kweli au matatizo ya kiuchumi yanakupa limitations za nini ufanye na nini usifanye.
 
Hujataja vitu viwili vya msingi sana kwenye mada yako;
1. Uchumi wako unasimamia wapi kwa sasa.
2. Umri wako.

Baada ya hapo tutajua ushaanza kuzeeka kweli au matatizo ya kiuchumi yanakupa limitations za nini ufanye na nini usifanye.
Uchumi wangu wa kati, umri kati ya 65-70yrs nacheza hapo bila ya shaka
 
Habari wadau

Kama heading inavyojionesha hapo wakuu.
Nina kama mwezi hiv najikuta nimebadilika sana kitabia, busara imepanda sana, watot wazur sina mpango nao hata wakinishobokea sina time nao

Napendelea kuvaa msuli kwa sana, sina mpango na ganja kabisa pombe ndo siihitaji kabisa

Nimeanza kusoma magazeti ya nipashe, mwananchi, habari leo.

Bila ya shaka nimeanza kuona uzee huo umeanza kugonga hodi (so sad)

Sasa wadau nimekuja kwenu kutaka ushauri wenu vitu vipi ningeendlea kuvimaintain zaid na kama kuna vya kuongezea katika lika hili la uzee na vip vya kuviepuka

Jf kisima cha maarifa
Ushirikiano wenu wakuu
Ushauri wangu hama nyumbani kwa Dada yako.
Tafuta chumba uishi kwa kujitegemea..
 
Habari wadau

Kama heading inavyojionesha hapo wakuu.
Nina kama mwezi hiv najikuta nimebadilika sana kitabia, busara imepanda sana, watot wazur sina mpango nao hata wakinishobokea sina time nao

Napendelea kuvaa msuli kwa sana, sina mpango na ganja kabisa pombe ndo siihitaji kabisa

Nimeanza kusoma magazeti ya nipashe, mwananchi, habari leo.

Bila ya shaka nimeanza kuona uzee huo umeanza kugonga hodi (so sad)

Sasa wadau nimekuja kwenu kutaka ushauri wenu vitu vipi ningeendlea kuvimaintain zaid na kama kuna vya kuongezea katika lika hili la uzee na vip vya kuviepuka

Jf kisima cha maarifa
Ushirikiano wenu wakuu
Jiandae kuota busha na kupungukiwa na nguvu za kiume
 
Umri kati ya 65-70yrs, basi kwa umri tu bila kuangalia kigezo cha uchumi upo kundi la wazee.

Muhimu ni kujikinga na maradhi yanayoambukiza hasa uviko19. Wewe ni lazima upate hiyo chanjo, lakini usisahau barakoa na jiepushe na misongamano isiyo ya lazima kiongozi.
Nimekupata mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom