Hizi kauli za mwenyekiti wa NEC naona zinaenda tofauti na matakwa ya mwenyekiti...yaani jaji kama vile hakuwepo nchini kipindi cha Mafuru na Dr. Mallecela..
Jaji ni kama vile ameshuka jana pale airpot na hajui nini kinaendelea..
Jaji umetoa wapi mamlaka ya kuionya CCM
Endelee kutoka kauli zenye mwelekeo tofauti na za mwenyekiti..
View attachment 449790 View attachment 449791 View attachment 449792
Jaji ni kama vile ameshuka jana pale airpot na hajui nini kinaendelea..
Jaji umetoa wapi mamlaka ya kuionya CCM
Endelee kutoka kauli zenye mwelekeo tofauti na za mwenyekiti..
View attachment 449790 View attachment 449791 View attachment 449792