Naona EATV dadaz lakini mbona ni wakina mama wale?

Mjadala huo tutasaidia kujua matumiz ya maneno haya ambayo naona hayatumik ipasavyo.
Neno *Dada* iv mtu kuitwa dada awe na umri gani mwisho ,naona eatv dadaz lkn mbona ni w goa mama wale!
Et kweli na ww unaona mwa4 na bhoke ni madada na yule mwingne! mi naona mdada angalau awe below 20 ki umri .
Mtu usoni pumb* like ngoz nae Dada no ooo ,kifua Batista ,mguu nsajigwa nae dada !!!,
Nyingne *,boyfriend na girlfriend * mtu uko above 30 na ww unatambulishwa boyfriend how! kitambi kule ,shavu hilo co sawa mi naona ..
Wakina mama ndyo wadada hao hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjadala huo tutasaidia kujua matumiz ya maneno haya ambayo naona hayatumik ipasavyo.
Neno *Dada* iv mtu kuitwa dada awe na umri gani mwisho ,naona eatv dadaz lkn mbona ni w goa mama wale!
Et kweli na ww unaona mwa4 na bhoke ni madada na yule mwingne! mi naona mdada angalau awe below 20 ki umri .
Mtu usoni pumb* like ngoz nae Dada no ooo ,kifua Batista ,mguu nsajigwa nae dada !!!,
Nyingne *,boyfriend na girlfriend * mtu uko above 30 na ww unatambulishwa boyfriend how! kitambi kule ,shavu hilo co sawa mi naona ..

je dada yako unamuita mama ukijibu hili sawa
 
Umri uko kama vyeo ,unavyopanda unapata jina jipya, ndio maana kuna bi Hindu , bi chau ,mama mchungaji
,45 ukaka ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom