Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,945
- 5,339
Ni Zanzibar nchi huru Ina kila kitu chake Ila Tanganyika ndio inajipendekeza.Zanzibar ni wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Zanzibar nchi huru Ina kila kitu chake Ila Tanganyika ndio inajipendekeza.Zanzibar ni wapi?
Sasa kama wahadhiri wanawagonga mwanachuo wa first year ambaye in most cases ni 21 - 22 yrs, yaani bado ni vidogo, vina tamaa za kawaida za kitoto na pia havijakomaa ki maamuzi na kimisimamo unategemea nini hapooo??unajua hii concept wengi sana inawachanganya..
tumeruhusu wajawazito kurudi shule sawa inawezekana ni uamuzi mzuri, lakini je ni sawa kwa binti mdogo mwanafunzi kupewa ujauzito na kuzalishwa au kufanya ngono?..... hapa ndio kwenye concept na failure za wasomi wetu...
Juhudi gani kali tumefanya sasa kuwalinda hawa mabinti na ujauzito na kufanya haya matukio kuwa negligible.......iko wapi mikakati kutoka ustawi wa jamii, elimu, mambo ya ndani nk kuhakikisha hawa mabinti wanakuwa salama katika kila nyanja kuanzia kitabia na kimaadili..?
Ipi sasa ? Mm nimeisha sema serikali na jamii zije na njia mbadara zitakazo saidia kuzuia mimba au kupunguza tatizo la.mimba kwa wanafunzu na sio kusubiria tatzo litokee Ndio wachukue hatua. Sasa hapo wao ndio wataamua hatua gan bora wanafunzi wapewe elimu ya uzazi wa mpango mashule au la, kuwe na punguzo la gharama za baadhi ya huduma.za uzazi wa mpango kwa wanafunzu.Toa way forwards
Mkuu wewe sio jamii, Toa ways forwardIpi sasa ? Mm nimeisha sema serikali na jamii zije na njia mbadara zitakazo saidia kuzuia mimba au kupunguza tatizo la.mimba kwa wanafunzu na sio kusubiria tatzo litokee Ndio wachukue hatua. Sasa hapo wao ndio wataamua hatua gan bora wanafunzi wapewe elimu ya uzazi wa mpango mashule au la, kuwe na punguzo la gharama za baadhi ya huduma.za uzazi wa mpango kwa wanafunzu.
Probably big vision but ukweli ni kwamba misaada ya nje imechochea tukubaliane na hali na sio kwamba wako serious kumsaidia huyo mtoto wa kike....takwa la msaada zaidiSafi sana! Una Big Vision sana wewe!
Kwan ujaona maoni yangu hapo chini?Mkuu wewe sio jamii, Toa ways forward
KaziiendeleeKwan ujaona maoni yangu hapo chini
KhaaaSasa kama wahadhiri wanawagonga mwanachuo wa first year ambaye in most cases ni 21 - 22 yrs, yaani bado ni vidogo, vina tamaa za kawaida za kitoto na pia havijakomaa ki maamuzi na kimisimamo unategemea nini hapooo??
Hakika ni kweli ulichosemaTumegawanyika saba kuhusu kipi kilicho sahihi. Lakini kumnyima mtoto shule kwa sababu ya mimba hiki ni kifungo cha maisha.
Ni adhabu ya kisiasa na si kisheria maana haihusiani na mahakama.
Mungu huwa anasamehe makosa makubwa tu mtu akitubu dhambi. Ameweka moto ndio lakini ametoa nafasi ya kutubu kuepuka moto.
Kwa nini tuweke moto kwa mtoto wa kike bila nafasi ya kutubu.
Mama Samia yuko sahihi.
Eti tunamkataa halafu tuseme atasoma kwa njia nyingine?
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Hii umeitoa wapi?Probably big vision but ukweli ni kwamba misaada ya nje imechochea tukubaliane na hali na sio kwamba wako serious kumsaidia huyo mtoto wa kike....takwa la msaada zaidi
Kaziiendeleeohoo kumbe tulinyimwa mkopo wa mamilioni ya dola sababu tumezuia mtoto wa kike mwenye ujauzito kurudi shule? kwa hiyo soon tutapata huo mkopo??
maana tulianza na Covid, vikaruhusiwa vya kuruhusiwa ghafla mkopo huo, na hii tena kama hivyo, dah tabu kweli
ila kuna kitu kimoja ambacho nilikiona, Raisi aliyepita alisema hao wanaotaka wenye ujauzito waendelee na shule, kwanini wasijenge shule kwa gharama zao na wawasomeshe hao watoto???
Unahoja mkuuohoo kumbe tulinyimwa mkopo wa mamilioni ya dola sababu tumezuia mtoto wa kike mwenye ujauzito kurudi shule? kwa hiyo soon tutapata huo mkopo??
maana tulianza na Covid, vikaruhusiwa vya kuruhusiwa ghafla mkopo huo, na hii tena kama hivyo, dah tabu kweli
ila kuna kitu kimoja ambacho nilikiona, Raisi aliyepita alisema hao wanaotaka wenye ujauzito waendelee na shule, kwanini wasijenge shule kwa gharama zao na wawasomeshe hao watoto???
Baada ya serikali kuwakataa, siyo. Kitendo cha kukataliwa ndicho kischokubaliwa.ohoo kumbe tulinyimwa mkopo wa mamilioni ya dola sababu tumezuia mtoto wa kike mwenye ujauzito kurudi shule? kwa hiyo soon tutapata huo mkopo??
maana tulianza na Covid, vikaruhusiwa vya kuruhusiwa ghafla mkopo huo, na hii tena kama hivyo, dah tabu kweli
ila kuna kitu kimoja ambacho nilikiona, Raisi aliyepita alisema hao wanaotaka wenye ujauzito waendelee na shule, kwanini wasijenge shule kwa gharama zao na wawasomeshe hao watoto???
Kwa kifupi hili si jambo jipya, ila kisiasa ni jipya.Safi aise, sikulijua hili
Kwani yeye zilikua ni fedha zake au za wananchiohoo kumbe tulinyimwa mkopo wa mamilioni ya dola sababu tumezuia mtoto wa kike mwenye ujauzito kurudi shule? kwa hiyo soon tutapata huo mkopo??
maana tulianza na Covid, vikaruhusiwa vya kuruhusiwa ghafla mkopo huo, na hii tena kama hivyo, dah tabu kweli
ila kuna kitu kimoja ambacho nilikiona, Raisi aliyepita alisema hao wanaotaka wenye ujauzito waendelee na shule, kwanini wasijenge shule kwa gharama zao na wawasomeshe hao watoto???
CCM inajitekenya halaf inachekaKila mwaka zaidi ya wasichana 6,500 wakiTanzania waliachishwa|walifukuzwa shule kwasababu ya kupata ujauzito wakiwa shuleni,
Mwaka 2017 aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwa kutumia nguvu ya Rais alikataa watoto hawa kuendelea na masomo.
Benki ya Dunia ikatunyima fedha kiasi cha $300M karibu TZS 690BL baada ya kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo Mhe Zitto Zuberi Kabwe kuwataka wafanye hivyo,
Je kulikuwa na haja kwa Hayati Rais Magufuli kufanya hayo?
Sote tunafahamu,Mimba sio ugonjwa, Mimba sio kilema,Mimba sio laana ,Mimba ni dalili ya ukamilifu na utimilifu wa kizazi cha mwanamke,
Lakini pia, Mimba ni baraka ya Uzao toka kwa Mungu iweje iwe laana?
Kwamtazamo wangu,awamu zilizopita zilimchukulia Mwanafunzi aliyepata mimba akiwa shuleni kitofauti sana
1. Zilidhani kupata mimba shuleni ni laana toka kwa Mungu na Wanadamu,
2. Zikamwona kama ni mtoto asiyefaa tena kuishi duniani
3. Zikafikiri ni mtoto asiyetakiwa kupata elimu tena utadhani mimba inafuta kumbukumbu,
4. Zikamwona kama malaya na huenda akipewa nafasi nyingine ya kuendelea na masomo atasambaza tabia hiyo mbaya kwa wanafunzi wengine,
5. Ziliamini kabisa ni mtoto asiyevumilika tena katika kuendelea na masomo yake,
Zitto Kabwe na baadhi ya Wabunge wa CHADEMA kama Esther Matiko na Halima James Mdee pamoja na wanaharakati wengine nguli wa kimataifa kama Maria Tsesai Sarungi na Shangazi Fatuma Karume na wengime wengi,
Watu hawa Wote kwa pamoja, walimpinga Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwa nguvu na kwaakili zao zote,
Wakati huohuo wakiziandikia taasisi mbalimbali za kimataifa hasa UNESCO|SIDA|IMF|WB zisitishe misaada na mikopo ya masharti nafuu kwa Tanzania kwa kukiuka haki hii ya Watoto,
Kwanini tusimpongeza Rais Samia kwa hili
Leo kwa mara ya kwanza toka kwa Rais wa kwanza mwanamke anayetambua kwa mifano kuwa "Mimba si laana wala mimba sio kilema cha akili"
Rais Samia tayari amerejesha furaha iliyopotea kwa miongo mingi kwa waathirika hawa wa mimba za mashuleni,
Leo haijalishi mimba mwanafunzi kaipataje iwe ni kwakubakwa au kurubuniwa cha kwanza mtuhumiwa atakwenda jela miaka thelathini,
Kisha mwanafunzi huyu baada ya kujifungua mtoto atarejea Shuleni kuendelea na masomo kama kawaida,
Tunaposema Rais Samia ni mteule wa Mungu tunamaana hii kwani hakuna mtimilifu mbele zake,
Hebu chukua huu mfano
Martha Karua mwanasiasa nguli tena mwenye ushawishi mkubwa nchini Kenya,
Martha ndiye anayetarajiwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao wa Kenya wa mapema 2022,
Ningumu kuamini ila mama huyu ni muhanga wa "Mimba za Shuleni " aliyepewa nafasi ya pili kuendelea na masomo yake,
Kwa msiofahamu, Kenya imekuwa na ruhusu kwa Wale wanaopata mimba shuleni kurejea na kuendelea na masomo yao baada ya kujifungua,
Nakwamantiki hii,Huenda Kenya ikapata Makamu wa Rais aliyepewa mimba akiwa bado shuleni,
Tunamengi ya kujifunza ila kwa sasa pongezi nyingi zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua kuwa mimba sio laana bali ni baraka toka kwa Mungu.
Her Excellency knows timings and right buttons to pressKila mwaka zaidi ya wasichana 6,500 wakiTanzania waliachishwa|walifukuzwa shule kwasababu ya kupata ujauzito wakiwa shuleni,
Mwaka 2017 aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwa kutumia nguvu ya Rais alikataa watoto hawa kuendelea na masomo.
Benki ya Dunia ikatunyima fedha kiasi cha $300M karibu TZS 690BL baada ya kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo Mhe Zitto Zuberi Kabwe kuwataka wafanye hivyo,
Je kulikuwa na haja kwa Hayati Rais Magufuli kufanya hayo?
Sote tunafahamu,Mimba sio ugonjwa, Mimba sio kilema,Mimba sio laana ,Mimba ni dalili ya ukamilifu na utimilifu wa kizazi cha mwanamke,
Lakini pia, Mimba ni baraka ya Uzao toka kwa Mungu iweje iwe laana?
Kwamtazamo wangu,awamu zilizopita zilimchukulia Mwanafunzi aliyepata mimba akiwa shuleni kitofauti sana
1. Zilidhani kupata mimba shuleni ni laana toka kwa Mungu na Wanadamu,
2. Zikamwona kama ni mtoto asiyefaa tena kuishi duniani
3. Zikafikiri ni mtoto asiyetakiwa kupata elimu tena utadhani mimba inafuta kumbukumbu,
4. Zikamwona kama malaya na huenda akipewa nafasi nyingine ya kuendelea na masomo atasambaza tabia hiyo mbaya kwa wanafunzi wengine,
5. Ziliamini kabisa ni mtoto asiyevumilika tena katika kuendelea na masomo yake,
Zitto Kabwe na baadhi ya Wabunge wa CHADEMA kama Esther Matiko na Halima James Mdee pamoja na wanaharakati wengine nguli wa kimataifa kama Maria Tsesai Sarungi na Shangazi Fatuma Karume na wengime wengi,
Watu hawa Wote kwa pamoja, walimpinga Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwa nguvu na kwaakili zao zote,
Wakati huohuo wakiziandikia taasisi mbalimbali za kimataifa hasa UNESCO|SIDA|IMF|WB zisitishe misaada na mikopo ya masharti nafuu kwa Tanzania kwa kukiuka haki hii ya Watoto,
Kwanini tusimpongeza Rais Samia kwa hili
Leo kwa mara ya kwanza toka kwa Rais wa kwanza mwanamke anayetambua kwa mifano kuwa "Mimba si laana wala mimba sio kilema cha akili"
Rais Samia tayari amerejesha furaha iliyopotea kwa miongo mingi kwa waathirika hawa wa mimba za mashuleni,
Leo haijalishi mimba mwanafunzi kaipataje iwe ni kwakubakwa au kurubuniwa cha kwanza mtuhumiwa atakwenda jela miaka thelathini,
Kisha mwanafunzi huyu baada ya kujifungua mtoto atarejea Shuleni kuendelea na masomo kama kawaida,
Tunaposema Rais Samia ni mteule wa Mungu tunamaana hii kwani hakuna mtimilifu mbele zake,
Hebu chukua huu mfano
Martha Karua mwanasiasa nguli tena mwenye ushawishi mkubwa nchini Kenya,
Martha ndiye anayetarajiwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao wa Kenya wa mapema 2022,
Ningumu kuamini ila mama huyu ni muhanga wa "Mimba za Shuleni " aliyepewa nafasi ya pili kuendelea na masomo yake,
Kwa msiofahamu, Kenya imekuwa na ruhusu kwa Wale wanaopata mimba shuleni kurejea na kuendelea na masomo yao baada ya kujifungua,
Nakwamantiki hii,Huenda Kenya ikapata Makamu wa Rais aliyepewa mimba akiwa bado shuleni,
Tunamengi ya kujifunza ila kwa sasa pongezi nyingi zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua kuwa mimba sio laana bali ni baraka toka kwa Mungu.