Mimba za watoto wa shule na umaskini ni pacha. Kupunguza hili tatizo lazima na umaskini upungueunajua hii concept wengi sana inawachanganya..
tumeruhusu wajawazito kurudi shule sawa inawezekana ni uamuzi mzuri, lakini je ni sawa kwa binti mdogo mwanafunzi kupewa ujauzito na kuzalishwa au kufanya ngono?..... hapa ndio kwenye concept na failure za wasomi wetu...
Juhudi gani kali tumefanya sasa kuwalinda hawa mabinti na ujauzito na kufanya haya matukio kuwa negligible.......iko wapi mikakati kutoka ustawi wa jamii, elimu, mambo ya ndani nk kuhakikisha hawa mabinti wanakuwa salama katika kila nyanja kuanzia kitabia na kimaadili..?