Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,633
Wakuu kunakila hali ya mh.zitto kurudishiwa nafasi zake zote za uongozi kwenye chama chake hii inatokana na ziara anazofanya dr slaa mikoani na kukutana na upinzani mkali ambao hakuutegemea wazee wa chama cha chadema wameagiza maridhiano yafanyike zitto aruhusiwe kugombea uenyekiti na kurudishiwa nafasi zake zote za uongozi.
Hii inakwenda sambamba na wenzake wote waliofukuzwa na wao watarejeshewe nafasi zao na kuombwa radhi kwa kuzushiwa uongo, chadema wamegundua kuwa endapo zitto atafukuzwa anaweza kukiua chama mapema kabisa ndipo walipoamua bora arudishiwe nafasi zake zote na kuombwa radhi.
jukumu la kumaliza tatizo hili amepewa pf baregu na wenzake,ngoja tusubiri safari inaendelea.
Hii inakwenda sambamba na wenzake wote waliofukuzwa na wao watarejeshewe nafasi zao na kuombwa radhi kwa kuzushiwa uongo, chadema wamegundua kuwa endapo zitto atafukuzwa anaweza kukiua chama mapema kabisa ndipo walipoamua bora arudishiwe nafasi zake zote na kuombwa radhi.
jukumu la kumaliza tatizo hili amepewa pf baregu na wenzake,ngoja tusubiri safari inaendelea.