GOAT25
Member
- Nov 29, 2021
- 23
- 16
Habari zenu
Mimi Kama mwananchi wa kawaida kabisa naona jinsi gani, CHADEMA kwa Sasa wanachama wake mioyo yao imejaa chuki na roho ya kulipiza kisasi..hasa ukifatilia maoni yao huko tweeter na Huku JF.
Ndugu zangu ondoeni roho za chuki na visasi ili mjikite kwenye kunadi Sera za chama chenu ili kupata wanachama wapya.
Mkipata nafasi nawaona mkijikita zaidi kwenye ulipizaji wa visasi badala ya ujenzi wa nchi.
Nchi yetu hii nzuri Tanzania imejengwa kwenye misingi ya amani na umoja.
Tujikite kuendeleza hayo kwa pamoja
Asanteni
Mwananchi
GOAT 25
Mimi Kama mwananchi wa kawaida kabisa naona jinsi gani, CHADEMA kwa Sasa wanachama wake mioyo yao imejaa chuki na roho ya kulipiza kisasi..hasa ukifatilia maoni yao huko tweeter na Huku JF.
Ndugu zangu ondoeni roho za chuki na visasi ili mjikite kwenye kunadi Sera za chama chenu ili kupata wanachama wapya.
Mkipata nafasi nawaona mkijikita zaidi kwenye ulipizaji wa visasi badala ya ujenzi wa nchi.
Nchi yetu hii nzuri Tanzania imejengwa kwenye misingi ya amani na umoja.
Tujikite kuendeleza hayo kwa pamoja
Asanteni
Mwananchi
GOAT 25