britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Ukweli una tabia Moja! Uwachukiza wachache na wengi hubaki wameduwaa kwamba kumbe na haya yapo?
Ukweli utakiwa kusemwa na wenye uthubutu bila kujali nani atakuchukuliaje Kuweka Mambo hadharani! Nina wengi tunaheshimiana hapa JF Na ni wa Mlengo wa washindani wetu!
Wakati ACT Wazalendo wakipewa fungu la Siri 345,700,600 kila Mwezi ili kuiangusha CHADEMA kiuimara , Wao CHADEMA hawana pesa! Chief organizer Yuko Mahabusu na Ndo Mwenye pesa! Katibu Mkuu kapoa! Vijana wamepoa, wabunge wastaarabu wamepoa! Nimepenyezewa kwamba hali so nzuri kifedha chamani! Wanafika hatua wanataka ama wahalalishe wale Covid 19.
Ambao wangechangia walau kila mmoja 3M kila mwezi kutoka ile 13.9M kila mwezi (all inclusive mapato ya Mbunge) wangekuta wana 50M+ kila mwezi Kuendeshea Chama.
Mnakumbuka nilisema kwamba uwenda kuna go ahead ya Mbowe kuwaruhusu Hawa Covid 19
Lakini Kelele za wasiochangia chama hata ada zao zikawa nyingi saana saana hata Mwenye kiti akaogopa Kuwasamehe kuhofia Chama Kumfia.
Sasa Chama naona kimekwama!
Ushauri wa Bure kwa Chadema....WAACHANE NA KUDAI KATIBA MPYA KABLA YA 2025...
Lissu Kampomza Mwana wa wachaga anasota Jela kwa kusingiziwa...
Naona waachane na mama awatulize ndani ya CCM ili ashinde 2025 na hapo mwaka 2028 hatakuwa na la kuogopa kuacha Katiba Mpya huenda akaamua kustaafu...na uwenda akawa Shujaa wa Taifa kwa kuacha Katiba Mpya..
sasa CDM ni wazito.kusoma siasa.....wakaanza vugu vugu la katiba mpya lililotishia Amani ya Taifa.
NIMEFURAHI SANA WABUNGE 19 KWENDA KUMTEMBELEA MBOWE GEREZANI KILA JUMAPILI.....HUO NDIO MSHIKAMANO
Kudos Mtu wangu ulonipenyezea hiii
Britannica
Ukweli utakiwa kusemwa na wenye uthubutu bila kujali nani atakuchukuliaje Kuweka Mambo hadharani! Nina wengi tunaheshimiana hapa JF Na ni wa Mlengo wa washindani wetu!
Wakati ACT Wazalendo wakipewa fungu la Siri 345,700,600 kila Mwezi ili kuiangusha CHADEMA kiuimara , Wao CHADEMA hawana pesa! Chief organizer Yuko Mahabusu na Ndo Mwenye pesa! Katibu Mkuu kapoa! Vijana wamepoa, wabunge wastaarabu wamepoa! Nimepenyezewa kwamba hali so nzuri kifedha chamani! Wanafika hatua wanataka ama wahalalishe wale Covid 19.
Ambao wangechangia walau kila mmoja 3M kila mwezi kutoka ile 13.9M kila mwezi (all inclusive mapato ya Mbunge) wangekuta wana 50M+ kila mwezi Kuendeshea Chama.
Mnakumbuka nilisema kwamba uwenda kuna go ahead ya Mbowe kuwaruhusu Hawa Covid 19
Kuna Sauti inanijia kwamba huenda wabunge 19 wa CHADEMA wana baraka za Mwenyekiti kwa makubaliano maalumu kutotoboa siri
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari. Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika). Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box. Britannica
www.jamiiforums.com
Lakini Kelele za wasiochangia chama hata ada zao zikawa nyingi saana saana hata Mwenye kiti akaogopa Kuwasamehe kuhofia Chama Kumfia.
Sasa Chama naona kimekwama!
Ushauri wa Bure kwa Chadema....WAACHANE NA KUDAI KATIBA MPYA KABLA YA 2025...
Lissu Kampomza Mwana wa wachaga anasota Jela kwa kusingiziwa...
Naona waachane na mama awatulize ndani ya CCM ili ashinde 2025 na hapo mwaka 2028 hatakuwa na la kuogopa kuacha Katiba Mpya huenda akaamua kustaafu...na uwenda akawa Shujaa wa Taifa kwa kuacha Katiba Mpya..
sasa CDM ni wazito.kusoma siasa.....wakaanza vugu vugu la katiba mpya lililotishia Amani ya Taifa.
NIMEFURAHI SANA WABUNGE 19 KWENDA KUMTEMBELEA MBOWE GEREZANI KILA JUMAPILI.....HUO NDIO MSHIKAMANO
Kudos Mtu wangu ulonipenyezea hiii
Britannica