ATCL imeingia katika biashara ya anga kwa spidi kali sana na imenunua ndege za uhakika airbus na dreamliner tumeambiwa Boeing nyingine ipo njiani.
Nina wasiwasi mkubwa sana katika uendeshaji wake kama shirika hili litatengeneza faida na kutufanya tutembee kifua mbele. Biashara ya ndege sio lele mama, hata yale mashirika makubwa ya ndege kama vile Emirates, Qatar yanapata msaada toka Serikalini.
Je, Serikali ya Magufuli itaweza kuibebe ATCL? Kubebwa na Serikali sio mbaya kwa wakati mwingine lakini inabidi usimame mwenyewe.
Nimesoma habari hivi karibuni kuwa South African Airways travel agent hawataki kukatisha tiketi zao kwani muda wowote linaweza kuwa kwenye adminstration.
Mpaka sasa ATCL ina safari moja tuu ya masafa marefu. Mumbai mara 4 kwa wiki. Safari za Africa Kusini tumesitisha. Commercial hub - hii inatugharimu.
Ndege tulizo nazo tunazitumia zadi kwa masafa mafupi, DAR KJO, au DAR -MZA wakati ndege hizi zingepiga safari za masafa marefu ingekuwa vizuri. Rwanda air, Kenya airway, na Ethiopia airlines, hawatumii Air Bus au Boieng kwa safari fupi.
Inabidi tujizatiti zaidi katika safari za masafa marefu kabla ya ndege zetu hazijaanza kuchoka. Ndege aina ya embraer 190 zingetusaidia sana kwa safari za nchi jirani kama vile na za ndani
Hata nchi za Ulaya Safari za saa moja na nusu angani hawatumii haya ma air bus and Boeing 787-8
Nina wasiwasi mkubwa sana katika uendeshaji wake kama shirika hili litatengeneza faida na kutufanya tutembee kifua mbele. Biashara ya ndege sio lele mama, hata yale mashirika makubwa ya ndege kama vile Emirates, Qatar yanapata msaada toka Serikalini.
Je, Serikali ya Magufuli itaweza kuibebe ATCL? Kubebwa na Serikali sio mbaya kwa wakati mwingine lakini inabidi usimame mwenyewe.
Nimesoma habari hivi karibuni kuwa South African Airways travel agent hawataki kukatisha tiketi zao kwani muda wowote linaweza kuwa kwenye adminstration.
Mpaka sasa ATCL ina safari moja tuu ya masafa marefu. Mumbai mara 4 kwa wiki. Safari za Africa Kusini tumesitisha. Commercial hub - hii inatugharimu.
Ndege tulizo nazo tunazitumia zadi kwa masafa mafupi, DAR KJO, au DAR -MZA wakati ndege hizi zingepiga safari za masafa marefu ingekuwa vizuri. Rwanda air, Kenya airway, na Ethiopia airlines, hawatumii Air Bus au Boieng kwa safari fupi.
Inabidi tujizatiti zaidi katika safari za masafa marefu kabla ya ndege zetu hazijaanza kuchoka. Ndege aina ya embraer 190 zingetusaidia sana kwa safari za nchi jirani kama vile na za ndani
Hata nchi za Ulaya Safari za saa moja na nusu angani hawatumii haya ma air bus and Boeing 787-8