Naona aibu kuzaliwa Mnyamwezi

domokaya

JF-Expert Member
Apr 22, 2010
3,545
1,719
Kwetu Tabora, Mkoa Mkubwa pengine kuliko wote nchi hii ndiko kunakoweza kuwa na watu waliolala kuliko mkoa wowote Tanzania.

Mkoa uliokuwa na shule muhimu kabisa katika nchi hii lakini mkoa uliotoa wasomi wachache ukilinganisha na idadi ya watu wake. Mkoa wenye asali na misitu asili, wenye tumbaku na mbegu ya ku ya iana ya kipekee duniani, mkoa wenye ng'ombe na mali asili nyingi, mkoa wenye watu warefu waliojaza misuli wake kwa waume lakini sina hakika sana na uwezo wa ubongo wetu.

Tabora isiyokuwa na barabara ya kutufikisha makao makuu ya mkoa kutoka popote pale duniani, mkoa wenye uwanja wa ndege wa matope. mkoa wenye mji wenye mtaa mmoja, mkoa ambao majumba yake yanazidi kwisha na kumongonyoka badala ya kushamiri. Mkoa ambao watu wake wanaogopa kujenga na hat akurudi kwao kwa kuogopa kulogwa.

Mkoa wa Tabora wenye wabunge wasiofanya lolote lakini wanoheshimiwa na kuabudiwa. Mbunge mmoja maarufu sana ana aliwahi kuwa na cheo kikubwa labda kidogo afadhali yeye maana akiendakwao huwanunulia wananchi wake maji madogo ya kilimanjaro, angalau wenye bahati hunywa maji ya kilimanjaro angalau mara moja kwa mwaka.

Hebua angalia wabunge wa bunge lilopita walifanya nini. Hebu Munagalie mnyamwezi yule aliyekuwa Igunga kabla hajajing'atua? Muangalia yule aliyekuwa bosi wa Bunge wamaifanyia nini tabora? Leo wanyamwezi eti wamemchagua mnyamwezi mwenzao muonesha bastola na almanusura nzega nao wamchague mnyamwezi mwezao yule mtoto wa kisomali lakini wakaishia kumchagua mnyamwezi mwenzao mrundi andrea.

Wanyamwezi bado hatujui mkoa wetu unaelekea wapi, hatuna elimu hatuna chochote. Mimi huwa najiuliza hao wanaosema wanyakyusa na wahaya walipata vyeo eti kwa kuwa mikoani kwao kulikuwa na shule kila siku huwa najiuliza kulikuwa na shule ngapi kushinda mkoa wa Tabora? Kagera nimefika na kuishi, Mbeya nimefika na kuishi lakini kila nikiangaza kulinganisha na Tabora sioni.

Inawezekana kumbe siyo uwepo wa shule ndio unaofanya watu waelimike kumbe hata uwezo wa ubongo. Sasa sishangai kuwa kila nikijaribu kufanya jambo sifanikiwi, inawezekana wanyamwezi tuna matatizo ya kurithi katika vichwa vyetu.

Hebu fikiri miaka hamsini kila siku mtu anakuahidi kukujengea lambo la maji na wewe unamkubalia tu eee, eti iko siku atalijenga!
 
Chief Domokaya pole,
Mimi kwetu ni Shinyanga lakini hatuko hivyo, leo ninaona aibu sana hata mood ya kazi imetoka, ninaingia kila chumba cha offisi kwa rafiki zangu na ninawauliza hivi kwa nini wana Igunga wamechagua CCM? Nijuavyo mimi hawana sababu hata moja ya kuchagua CCM! Inawezekana wanaridhika na maisha yaliyopo kwa kuwa maisha yao yote yako hivyo na hawajawahi kuwa na maendeleo. Siamini kama hao ni wasukuma waliopitisha hiyo chama tena!
 
Inawezekana kumbe siyo uwepo wa shule ndio unaofanya watu waelimike kumbe hata uwezo wa ubongo. Sasa sishangai kuwa kila nikijaribu kufanya jambo sifanikiwi, inawezekana wanyamwezi tuna matatizo ya kurithi katika vichwa vyetu.

Hebu fikiri miaka hamsini kila siku mtu anakuahidi kukujengea lambo la maji na wewe unamkubalia tu eee, eti iko siku atalijenga!

Pole Domokaya, maana umefika mbali!
 
Mie juzi nilikuwa huko msibani! si tu nyumba zinamomonyoka badala ya kushamiri bali pia watu pia wanakwisha kwa ngoma! nimezaliwa Isebya nimekulia na kusoma gongoni yani kila niliyemuulizia keshakwenda mbele ya haki town inazidi kuwa kama kazaroho yani japo nikwetu wiki moja ya mziba nilipata msiba mwingi kwa jinsi hali ilivyo. Hakuna uchumi kabisa watu ni ngono tu wanawaza duh! inabidi turudi tuuokoe mkoa wetu.
 
Msula EVE;
Mbona mie nimetembea sana tu hadi nje ya Tanzania na NINALINGIA KUWA MNYAMWEZI?

Wee umevuta NSANSA badala ya Bange mkuu.....Siku zote, majani yaliyombali ndiyo huwa ya KIJANI.

Kuna sababu nyingi zimechangia Tabora kuwa hivyo na si UJINGA wa watu.Jaribu kufuatilia na ujuwe Chief Lugusha wa Sikonge, aliyewahi kuwa Mbunge na alisoma na Nyerere, kwanini alikuwa na kifungo cha Nyumbani pale Sikongee na alikuwa hawezi kufika kwenye mikutano ya watu wengi bila ya kutoa habari Polisi?Fuatilie ujuwe kwa nini Chief Fundikira alikimbilia Kenya kwa miaka mingi?Kwa nini Kasanga Tumbo alikuwa na yeye ana kifungo huko Ipole?Pia kumbuka, Tabora ni mkoa ulioko ndani ya nchi. Ni tofauti na mikoa iliyopo mipakani kama hiyo yote uliyosema. Hebu nipatie Mkoa hata mmoja wa ndani uliochangangamka kutuzidi sisi na wao hawana hata barabara zinazopita kwenda sehemu nyingine.

Tabora, Singida, Dodoma, Tanga, Lindi, Mtwara, Iringa, Rukwa ni chambio la Mafisadi. Dodoma wanatuzidi tu kwa sababu ni Capital City. Rukwa vimadini kidogo vinasaidia pia Shinyanga vimewapa hadi mwamko. Kigoma ni Rumba tu kama sisi. Tanga, Lindi na Mtwara na ka BAKWATA kanasaidia sana kushusha maendeleo na mwamko ambayo ni sawa kabisa na Tabora. Tena kwa Tabora ni mbaya zaidi maana kuna ka kuabudu ngozi nyeupe sana. Sasa akija Mwarabu, sisi hoi.Si unaona hata mtoto mweupe anaozwa kwa ng'ombe wengi? Kadili Kapeee ni Mwanzo wa matatizo ya Mnyamwezi. Ila siyo sababu ya kukata tamaa na kuanza kujiona wewe hufai. Mbona mie kimaisha nawazidi Wachaga wengi tu. Nawazidi Wahaya wengi tu, Wa-Mbeya pia wengi nawapiga bao, sasa kwa nini nione AIBU kusema mie Mnyamwezi na tena WA SIKONGE?

Nyanda, lekaka veve......
 
Tabora tunapandana sana na kuzaana kama Panya. Acha tupungue kidogo............
Mie juzi nilikuwa huko msibani! si tu nyumba zinamomonyoka badala ya kushamiri bali pia watu pia wanakwisha kwa ngoma! nimezaliwa Isebya nimekulia na kusoma gongoni yani kila niliyemuulizia keshakwenda mbele ya haki town inazidi kuwa kama kazaroho yani japo nikwetu wiki moja ya mziba nilipata msiba mwingi kwa jinsi hali ilivyo. Hakuna uchumi kabisa watu ni ngono tu wanawaza duh! inabidi turudi tuuokoe mkoa wetu.
 
Msula EVE;
Mbona mie nimetembea sana tu hadi nje ya Tanzania na NINALINGIA KUWA MNYAMWEZI?

Wee umevuta NSANSA badala ya Bange mkuu.....Siku zote, majani yaliyombali ndiyo huwa ya KIJANI.

Kuna sababu nyingi zimechangia Tabora kuwa hivyo na si UJINGA wa watu.Jaribu kufuatilia na ujuwe Chief Lugusha wa Sikonge, aliyewahi kuwa Mbunge na alisoma na Nyerere, kwanini alikuwa na kifungo cha Nyumbani pale Sikongee na alikuwa hawezi kufika kwenye mikutano ya watu wengi bila ya kutoa habari Polisi?Fuatilie ujuwe kwa nini Chief Fundikira alikimbilia Kenya kwa miaka mingi?Kwa nini Kasanga Tumbo alikuwa na yeye ana kifungo huko Ipole?Pia kumbuka, Tabora ni mkoa ulioko ndani ya nchi. Ni tofauti na mikoa iliyopo mipakani kama hiyo yote uliyosema. Hebu nipatie Mkoa hata mmoja wa ndani uliochangangamka kutuzidi sisi na wao hawana hata barabara zinazopita kwenda sehemu nyingine.

Tabora, Singida, Dodoma, Tanga, Lindi, Mtwara, Iringa, Rukwa ni chambio la Mafisadi. Dodoma wanatuzidi tu kwa sababu ni Capital City. Rukwa vimadini kidogo vinasaidia pia Shinyanga vimewapa hadi mwamko. Kigoma ni Rumba tu kama sisi. Tanga, Lindi na Mtwara na ka BAKWATA kanasaidia sana kushusha maendeleo na mwamko ambayo ni sawa kabisa na Tabora. Tena kwa Tabora ni mbaya zaidi maana kuna ka kuabudu ngozi nyeupe sana. Sasa akija Mwarabu, sisi hoi.Si unaona hata mtoto mweupe anaozwa kwa ng'ombe wengi? Kadili Kapeee ni Mwanzo wa matatizo ya Mnyamwezi. Ila siyo sababu ya kukata tamaa na kuanza kujiona wewe hufai. Mbona mie kimaisha nawazidi Wachaga wengi tu. Nawazidi Wahaya wengi tu, Wa-Mbeya pia wengi nawapiga bao, sasa kwa nini nione AIBU kusema mie Mnyamwezi na tena WA SIKONGE?

Nyanda, lekaka veve......

Umesahau na Issue ya Malima alivyonyotolewa roho!
 
Msula EVE;
Mbona mie nimetembea sana tu hadi nje ya Tanzania na NINALINGIA KUWA MNYAMWEZI?

Wee umevuta NSANSA badala ya Bange mkuu.....Siku zote, majani yaliyombali ndiyo huwa ya KIJANI.

Kuna sababu nyingi zimechangia Tabora kuwa hivyo na si UJINGA wa watu.Jaribu kufuatilia na ujuwe Chief Lugusha wa Sikonge, aliyewahi kuwa Mbunge na alisoma na Nyerere, kwanini alikuwa na kifungo cha Nyumbani pale Sikongee na alikuwa hawezi kufika kwenye mikutano ya watu wengi bila ya kutoa habari Polisi?Fuatilie ujuwe kwa nini Chief Fundikira alikimbilia Kenya kwa miaka mingi?Kwa nini Kasanga Tumbo alikuwa na yeye ana kifungo huko Ipole?Pia kumbuka, Tabora ni mkoa ulioko ndani ya nchi. Ni tofauti na mikoa iliyopo mipakani kama hiyo yote uliyosema. Hebu nipatie Mkoa hata mmoja wa ndani uliochangangamka kutuzidi sisi na wao hawana hata barabara zinazopita kwenda sehemu nyingine.

Tabora, Singida, Dodoma, Tanga, Lindi, Mtwara, Iringa, Rukwa ni chambio la Mafisadi. Dodoma wanatuzidi tu kwa sababu ni Capital City. Rukwa vimadini kidogo vinasaidia pia Shinyanga vimewapa hadi mwamko. Kigoma ni Rumba tu kama sisi. Tanga, Lindi na Mtwara na ka BAKWATA kanasaidia sana kushusha maendeleo na mwamko ambayo ni sawa kabisa na Tabora. Tena kwa Tabora ni mbaya zaidi maana kuna ka kuabudu ngozi nyeupe sana. Sasa akija Mwarabu, sisi hoi.Si unaona hata mtoto mweupe anaozwa kwa ng'ombe wengi? Kadili Kapeee ni Mwanzo wa matatizo ya Mnyamwezi. Ila siyo sababu ya kukata tamaa na kuanza kujiona wewe hufai. Mbona mie kimaisha nawazidi Wachaga wengi tu. Nawazidi Wahaya wengi tu, Wa-Mbeya pia wengi nawapiga bao, sasa kwa nini nione AIBU kusema mie Mnyamwezi na tena WA SIKONGE?

Nyanda, lekaka veve......


Rudia kusoma ulichokiandika!
 
Kwetu Tabora, Mkoa Mkubwa pengine kuliko wote nchi hii ndiko kunakoweza kuwa na watu waliolala kuliko mkoa wowote Tanzania.

Mkoa uliokuwa na shule muhimu kabisa katika nchi hii lakini mkoa uliotoa wasomi wachache ukilinganisha na idadi ya watu wake. Mkoa wenye asali na misitu asili, wenye tumbaku na mbegu ya ku ya iana ya kipekee duniani, moa wenye ng'ombe na mali asili nyingi, mkoa wenye watu warefu waliojaza misuli wake kwa waume lakini sina hakika sana na uwezo wa ubongo wetu.

Tabora isiyokuwa na barabara ya kutufikisha makao makuu ya mkoa kutoka popote pale duniani, mkoa wenye uwanja wa ndege wa matope. mkoa wenye mji wenye mtaa mmoja, mkoa ambao majumba yake yanazidi kwisha na kumongonyoka badala ya kushamiri. Mkoa ambao watu wake wanaogopa kujenga na hat akurudi kwao kwa kuogopa kulogwa.

Mkoa wa Tabora wenye wabunge wasiofanya lolote lakini wanoheshimiwa na kuabudiwa. Mbunge mmoja maarufu sana ana aliwahi kuwa na cheo kikubwa labda kidogo afadhali yeye maana akiendakwao huwanunulia wananchi wake maji madogo ya kilimanjaro, angalau wenye bahati hunywa maji ya kilimanjaro angalau mara moja kwa mwaka.

Hebua angalia wabunge wa bunge lilopita walifanya nini. Hebu Munagalie mnyamwezi yule aliyekuwa Igunga kabla hajajing'atua? Muangalia yule aliyekuwa bosi wa Bunge wamaifanyia nini tabora? Leo wanyamwezi eti wamemchagua mnyamwezi mwenzao muonesha bastola na almanusura nzega nao wamchague mnyamwezi mwezao yule mtoto wa kisomali lakini wakaishia kumchagua mnyamwezi mwenzao mrundi andrea.

Wanyamwezi bado hatujui mkoa wetu unaelekea wapi, hatuna elimu hatuna chochote. Mimi huwa najiuliza hao wanaosema wanyakyusa na wahaya walipata vyeo eti kwa kuwa mikoani kwao kulikuwa na shule kila siku huwa najiuliza kulikuwa na shule ngapi kushinda mkoa wa Tabora? Kagera nimefika na kuishi, Mbeya nimefika na kuishi lakini kila nikiangaza kulinganisha na Tabora sioni.

Inawezekana kumbe siyo uwepo wa shule ndio unaofanya watu waelimike kumbe hata uwezo wa ubongo. Sasa sishangai kuwa kila nikijaribu kufanya jambo sifanikiwi, inawezekana wanyamwezi tuna matatizo ya kurithi katika vichwa vyetu.

Hebu fikiri miaka hamsini kila siku mtu anakuahidi kukujengea lambo la maji na wewe unamkubalia tu eee, eti iko siku atalijenga!


waache walale siku wakiamka watajutia hilo!
 
Pole,mimi nilitaka kuolewa chabutwa huko sikonge.Nilisemwa mno kwa nini naolewa kwa maskini?nataka kuleta maskini kwenye ukoo?Thank God sikuolewa huko
 
Pole,mimi nilitaka kuolewa chabutwa huko sikonge.Nilisemwa mno kwa nini naolewa kwa maskini?nataka kuleta maskini kwenye ukoo?Thank God sikuolewa huko

Ujapenda wewe ni hizo mshindo zako tu zilikuwa zinakusumbua labda jamaa alikuwa anajua kukubutua lakini hana kisu!
 
Yana mwisho, siku inakuja Wadakama wataamka na hutoona aibu tena
 
Umesahau na Issue ya Malima alivyonyotolewa roho!
Mkuu, tafadhali nikumbushe. Malima yupi unayemsema hapa? Samahani ila nimeshindwa kuunganisha dots.

Rudia kusoma ulichokiandika!
Wee ndiyo urudie kusoma nilichokiandika.

Pole,mimi nilitaka kuolewa chabutwa huko sikonge.Nilisemwa mno kwa nini naolewa kwa maskini?nataka kuleta maskini kwenye ukoo?Thank God sikuolewa huko
Wee sasa ulikuwa uolewe na familia gani? Mbona pale kuna Yongolo Family wapo poa sana kipesa na kishule? Mwisho naona hukupenda. Sijui ningelikuwa mie bado ungeligoma :) Mie pia somehow natoka Chabutwa.
 
Kaka Mimi ni Mzaliwa wa Tabora, ISEVYA barabara moja inayoitwa KANONI, MNYAMWEZI MKONONGO wa asili. Nachoweza kukueleza ndugu yangu ni kuwa Mkoa wa TABORA UMEROGWA!!!! Hebu tuwaache kwanza wasote hadi hapo watakapopata akili vichwani mwao.
 
Badakama mmetuaibisha. Mnaotetea fikirieni uduni wa maisha wa wanaigunga! Mara mia hata sisi tulioamua kumpa mzee cheyo na sio magamba. Potelea mbali jimbo letu magamba hayatii miguu.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom