Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,302
- 29,804
- Thread starter
- #341
Asante sana kiongoziMtoa Mada pole Sana Jaribu hata kua saidia fundi then uwe unaweka akiba kidogo kidogo baada ya mwezi uanzishe biashara ya maana
Asante sana kiongoziMtoa Mada pole Sana Jaribu hata kua saidia fundi then uwe unaweka akiba kidogo kidogo baada ya mwezi uanzishe biashara ya maana
Wanaweza kuniona madada tuliosoma nao chuoSasa si uyauze upate mtaji wa unachotaka kufanya?
Kwani utauza maji huku umeshikilia hiyo shahada yako?
Asante kwa kunikosoa nitarekebisha namna ya kuwasilisha hojaKama hivi unavyoandika umemaliza Degree Mlimani basi ni halali chuo hicho kishuke hadhi yake kimataifa kwenye taaluma. Yaani wewe ulimaliza vipi hapo aisee?
Huu uandishi ni wa mtoto mdogo ambaye hajamaliza vidudu.
Sasa hapo tukusaidie jinsi ya kumchamba shemeji yako au tukusaidie namna ya kuuza maji?
Umeeleza mambo ya shemeji mengi kuliko la maji.
Toka kwa kaka yako kaishi pembeni huko. Kafanye biashara hata ya maji kwa kuanzia. Ila kwa akili yako hata maji hauwezi kuuza. Maji hayataki watu wajinga
We ni fala.Wanaweza kuniona madada tuliosoma nao chuo
Tatizo namna ya Kuanza ndochangamotoBado maisha hayajakuchapa yakikuchapa hutoona aibu utauza tu ngoja waendelee kutokukukuachia pesa utaelewa tu.
Umekuja kunishauri au kunichambaWe ni fala.
Hao madada hawakupeleki chooni
Hao hao madada unao waonea aibu wenzio wanaliwa jicho moja wapate macho matatu
Bro wako akusepeshe hapo home ndio akili ikukae
Ni kwamba we ni mpumbavu ,unaona aibu kupunguza makali yako ya maisha ?Umekuja kunishauri au kunichamba
Ukiona aibu kujishulisha utakuja kuliwa jichoAsante kwa kunikosoa nitarekebisha namna ya kuwasilisha hoja
Ukiamua haiwezi kuwa changamotoTatizo namna ya Kuanza ndochangamoto
PumbavuWanaweza kuniona madada tuliosoma nao chuo
Ongezea na kapero juuingia road
vaa mask
piga kazi
Kwani wakikuona kipi kitaathiri?Wanaweza kuniona madada tuliosoma nao chuo
Safi sana yupo vizuriKuna dogo angu hapa anasoma ija chuo cha sheria yupo diploma 2 kaja kunipa hai pori nashangaa dogo asubuhi kaosha madumu 20 nikajua anafanya usafi mara kabeba boda kwenda kuchota maji na huku dumu buku nikajua huyu dogo jembe hapa nasubiri tarehe 18 aende chuo nikamatie kitengo dogo anauza hadi 30000 mafuta ya 5000