Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,279
- 29,779
- Thread starter
- #321
Asante sana bro bora umeingilia katiWachangiaji wengi mliomponda mtoa mada, cjui mnajitoa ufahamu, hamjui jinsi gani ilivo aibu kuuza vitu barabarani kwa kuvitembeza.. especially kama mtu una degree..bcoz degree Inakujaza matumaini makubwa bila kitu
Youtube nliangalia video ya gatesnotes yani hata wale ambao hawana elimu kubwa, wanaona aibu kuuza vitu mtaani kwa kuvitembeza.
Kwa wengi, hiyo ni kazi inayodhalilisha sana utu wa mtu, heri kazi ya kudeki vyoo vya stendi, kuosha vyombo hotelini, u-waiter wa mgahawa..etc