Naona aibu kuuza maji barabarani nisaidieni

Wachangiaji wengi mliomponda mtoa mada, cjui mnajitoa ufahamu, hamjui jinsi gani ilivo aibu kuuza vitu barabarani kwa kuvitembeza.. especially kama mtu una degree..bcoz degree Inakujaza matumaini makubwa bila kitu

Youtube nliangalia video ya gatesnotes yani hata wale ambao hawana elimu kubwa, wanaona aibu kuuza vitu mtaani kwa kuvitembeza.

Kwa wengi, hiyo ni kazi inayodhalilisha sana utu wa mtu, heri kazi ya kudeki vyoo vya stendi, kuosha vyombo hotelini, u-waiter wa mgahawa..etc
Asante sana bro bora umeingilia kati
 
Nimeusoma uzi wako na nimeuelewa vizuri.. lengo lako ni:

1.Kuwasema "ma graduate"kwa namna tofauti ..

(umeamua kuwaponda kwa kujivika uhusika na ku assume tabia zao za kubagua kazi huku wakiishi maisha tegemezi na umri wao ukiwa umekwenda - (kijana mdogo 26yrs))

2. Kuwaponda watu waliosoma na hawataki kufanya "vibiashara vya machinga" au kujiajiri.

Acha usanii
Hayo ni mawazo yako pia lazima nizingatie demokrasia
 
Tatizo juani siwez nina matatizo ya kuuma kichwa na macho mkuu
Unaweza ukawa na sababu kujaa dunia nzima. Wewe ni whiner. Na logoff

IMG_20211013_104556.png
 
Sina followers wala majority support
Hiyo political science ya udsm imekusaidia nini? Am not sure kama inafundisha kuwa wana siasa au vipi..
Lkn Nikuulize..wana siasa wote unaowajua walianza na followers au walianzia chini bila wafuasi?

Tatizo lako ni moja..unaogopa/hutaki kuanzisha jambo kuanzia chini that's y hata hiyo biashara ya maji unaona aibu.
Na utakaa hapo kwa shemeji yako mpaka yesu arudi.
 
Hiyo political science ya udsm imekusaidia nini? Am not sure kama inafundisha kuwa wana siasa au vipi..
Lkn Nikuulize..wana siasa wote unaowajua walianza na followers au walianzia chini bila wafuasi?

Tatizo lako ni moja..unaogopa/hutaki kuanzisha jambo kuanzia chini that's y hata hiyo biashara ya maji unaona aibu.
Na utakaa hapo kwa shemeji yako mpaka yesu arudi.
Nakula kwa kaka sio shemeji maana anaetafuta pesa ni kaka angu
 
Mtoa Mada pole Sana Jaribu hata kua saidia fundi then uwe unaweka akiba kidogo kidogo baada ya mwezi uanzishe biashara ya maana
 
Kama hivi unavyoandika umemaliza Degree Mlimani basi ni halali chuo hicho kishuke hadhi yake kimataifa kwenye taaluma. Yaani wewe ulimaliza vipi hapo aisee?
Huu uandishi ni wa mtoto mdogo ambaye hajamaliza vidudu.
Sasa hapo tukusaidie jinsi ya kumchamba shemeji yako au tukusaidie namna ya kuuza maji?
Umeeleza mambo ya shemeji mengi kuliko la maji.
Toka kwa kaka yako kaishi pembeni huko. Kafanye biashara hata ya maji kwa kuanzia. Ila kwa akili yako hata maji hauwezi kuuza. Maji hayataki watu wajinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom