Mtani nakusalimiaaaKwa hiyo ni kesi mbili tena si moja zinazoendelea huko au zimeunganishwa?
tunajimwambafayNadhani hili hata halihusiani na jambo lililopo mezani sababu la mezani ni mkataba wa two year na sio ule wa miezi sita.
Wamalize hili likishaisha anayeona hayo awasilishe naye sababu kila mmoja anaibua lwake saa hii.
Na bila umakini twiefuefu kutakuwa na kesi za Morisson tu.
yaani mnakuja na mkataba sehemu ya kusaini imenyofolewa
Umeitowa wapi hii Mtani? 🤔yaani mnakuja na mkataba sehemu ya kusaini imenyofolewa
pole sana,huwa ramli zako iwe kwenye mpira siasa au michezo hazijawahi kuwa kweli,unakuwa na wrong guessing!Kwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.
BM Amejitia kitanzi mwenyewe
Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown. Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.
Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?
So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?
Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against. Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".
We bwege rejea mitapishi yakoKwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.
BM Amejitia kitanzi mwenyewe
Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown. Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.
Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?
So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?
Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against. Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".
MmekomokaKwa kifupi tu ni kwamba Morrison alijichanganya na tamaa za mikataba ya hapa na pale,ata yule Eng Ers aliwahi kusema pale Wasafi kwamba BM alimfuata akamwambia kwamba amepata tm yenye mkataba mnono hivyo anaomba avunje mkataba na hapo ndipo ugumu ulipo kuja akaanza mgomo wa kutosafiri na tm to Shinyanga kucheza na Mwadui, so hapa BM anajaribu kuukana mkataba wake wa halali na Yanga, sidhan kama this time atabakia salama,maana ata huko alikotoka ilikuwa n vurugu tu, Pale Orlando Pirates, Mara As Vita. kote huko aliacha Gumzo na inavyoonekana akifika sehem anaanza vurugu ili mkataba uvunjwe ili awe free agent na apige pesa,BM anatumia ujanja wa watu wa A.Magharibi kupiga pesa.
Kushinda pekee ambako Yanga alikua anaweza kwa hizo 99.99% zako ni KUSHINDA NJAAKwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.
BM Amejitia kitanzi mwenyewe
Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown. Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.
Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?
So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?
Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against. Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".
Sawa.
Mngeanza kwa senzo mwenye work permit ya Simba lakini kasign yangaKwa hiyo aliishi na kufanya kazi Tanzania isivyo kihalali?
Hiyo ni jinai kwake, awe deported basi.
Si anabadilishiwa kazi tu ...Mngeanza kwa senzo mwenye work permit ya Simba lakini kasign yanga
Si unataka Morison aondolewe sababu hana permitSi anabadilishiwa kazi tu ...
Mnacomplicate sana permit ya Senzo, hao wanaoropoka hawajawahi kufanya kazi nchi za nje wanakariri tu mambo.
Vitu viwili tofauti. Okoa muda bruh ....Si unataka Morison aondolewe sababu hana permit