pascal luoga
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 232
- 257
Wakuu kwanza napenda kuwasalimu wadau wote kutoka Jamii forum,
Mimi ni kijana wa miaka 21 nimetimiza umri huo kama last 3 weeks hiv, kipindi Niko secondary form2 niliingia katika huu mchezo wa kujichua ama (punyeto) wengi wanavyofahamu , nimekuwa addicted na mchezo huo mwaka wa (7) sasa na namshukuru Mungu ameweza kuniongoza kwa miaka yote hii upigaji wangu kwa mwezi sikuwai kuzidi MARA 5, Naweza piga leo nikaja kupiga tena baada ya wiki moja ama ikizidi mbili na ni mpigo mmoja tu yani hiyo siku ninayopiga ni Mara moja tu ndani ya siku, Mchezo huu umenifanya niwe basically kwenye kujifaidisha mwenyew, kwa miaka yote hii tangu nizaliwe sikuwai kufany mapenzi (sex) na mwanamke yoyote yule. Kinacho nisibu ni kwmba ni mwaka na nusu sasa natumia mda mwingi kufikiria juu ya hilo swala LA nyeto kwamba naachaje na kwmba linaweza niletea matatizo baadae yani nawaza sana, CHA AJABU siku Nikipiga nyeto ile time ya kutoa manii kale kafeelings naona kabisa kama hakipo na Leo ni siku ya5 SIPATI MORNING ERECTION yaanai jogoo haamki asubui ila mda mwengine anakuwa poa tu, je NI PSYCHOLOGICAL PROBLEM AMA???
NAOMBENI MSAADA WAKUU
NA KIKUBWA SIKUWAI KUSEX SASA SIJUI NDO TATTIZO PIA??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana wa miaka 21 nimetimiza umri huo kama last 3 weeks hiv, kipindi Niko secondary form2 niliingia katika huu mchezo wa kujichua ama (punyeto) wengi wanavyofahamu , nimekuwa addicted na mchezo huo mwaka wa (7) sasa na namshukuru Mungu ameweza kuniongoza kwa miaka yote hii upigaji wangu kwa mwezi sikuwai kuzidi MARA 5, Naweza piga leo nikaja kupiga tena baada ya wiki moja ama ikizidi mbili na ni mpigo mmoja tu yani hiyo siku ninayopiga ni Mara moja tu ndani ya siku, Mchezo huu umenifanya niwe basically kwenye kujifaidisha mwenyew, kwa miaka yote hii tangu nizaliwe sikuwai kufany mapenzi (sex) na mwanamke yoyote yule. Kinacho nisibu ni kwmba ni mwaka na nusu sasa natumia mda mwingi kufikiria juu ya hilo swala LA nyeto kwamba naachaje na kwmba linaweza niletea matatizo baadae yani nawaza sana, CHA AJABU siku Nikipiga nyeto ile time ya kutoa manii kale kafeelings naona kabisa kama hakipo na Leo ni siku ya5 SIPATI MORNING ERECTION yaanai jogoo haamki asubui ila mda mwengine anakuwa poa tu, je NI PSYCHOLOGICAL PROBLEM AMA???
NAOMBENI MSAADA WAKUU
NA KIKUBWA SIKUWAI KUSEX SASA SIJUI NDO TATTIZO PIA??
Sent using Jamii Forums mobile app