Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />msaada gani.. moto, wizi au..
<br />police 0713034244<br />
trafic 0713631780
0713631780.....0682887722asante kingasti, na ndet pia ila na je ile ya patroo
piga 911Wandugu za jioni, tafadhalini naomba msaada mnijuze zile number za msaada kwa anayekumbuka kuna ndugu alitujuza juzi ila kwa bahati mbaya mimi sikuzichukua
<br />0713631780.....0682887722
namba ya msaada ukiwa lonely unaikumbuka?lol
mzee cha hasiraa ndugu yangu, mwenz+o jumamosi mie na washkaji wenzangu tumerudi kutoka kwenye kipati chetu kidogo ilikuwa ni mida ya saa saba usiku, tulipfika karibu na nyumba zetu tukakubaliana tupozi kidogo kwa mwenzetu ambaye ana kagrosari karibu na nyumba zetu ndipo tukaanza kusikia milio ya risasi ikiwaa inatokea juu upande wa jogoo mbezi beach huku yaani, iliendelea kulia kama mara nne hivi. Ila tetesi ziasema kuwa mida ya saa nne siku hiyo jamaa walifunga mitaa ya salasala na kuporapora pesa, sasa na mida ile ya saa saba kuelekea saa nane usiku eti walimvamia jamaa mmoja wahuko jogoo ndiko kulikokuwa kunatokea milio ya risasi. Labda kama kuna mwenye habari kamili atanirekebisha ni tetesi nilisikia milio hiyo ila sikushuhudia matukio.Hizi no hazina faida ktk serikali legelege kama ya kwetu.