ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,544
- 44,690
Humu ndani Kuna watu wakubwa wenye maono ndo maana nimekuja kuwaomba ushauri,mdogo wangu kanunua camera yake Nikon nzuri Sana Na anafanya production Ni mtaalam kanipa offer ya kunirekodi video ili niweze kuziweka kwenye YouTube nasikia ukifikisha subscribe 1000 wanakulipa hela.
Kwa hiyo nambieni nirekodi Nini maana comedy me sinaga nataka vitu serious Sasa sielewi nirekodi nafanya Nini au naongelea Nini ambacho hata nyie wenyewe mtakuwa mkinitazama.
Kwa hiyo nambieni nirekodi Nini maana comedy me sinaga nataka vitu serious Sasa sielewi nirekodi nafanya Nini au naongelea Nini ambacho hata nyie wenyewe mtakuwa mkinitazama.