Naombeni vigezo vya kujiunga na diploma ya civil engineering DIT au UDSM

mr wilehard

Member
Jun 29, 2015
49
23
Nnisaidieni vigezo vya kujiunga na ordinary diploma ya civil eng kwa mtu aliyefeli au kuwa na ufaulu hafifu

asante
 
Kwa dit kuna njia tatu za kujiunga na diploma, ya kwanza ni kwa wale wanaokuwa select direct kutoka kidato cha nne hawa wanakuwa sponsered na serikali, ya tatu ni kwa kuomba direct chuon-hii unaweza itumia kwa kuzingatia matokeo yako (kwa kukidhi vigezo vilivyowekwa na nacte) na ya pili ni kwa kusoma pre-entry course inayotolewa kwa kipindi cha miezi mitatu kama sikosei. Hii njia ya pili inampa mwanafunzi ambaye hajatimiza vigezo kusoma hiyo kozi kisha kufanya mitihan ambapo masomo yanayofundishwa ni English, Math na Physics na watakao faulu mtihan wa mwisho hupata nafasi ya kujiunga na chuo ila anakuwa private sponsership. Nadhan nimekuelewesha.
 
Kwa dit kuna njia tatu za kujiunga na diploma, ya kwanza ni kwa wale wanaokuwa select direct kutoka kidato cha nne hawa wanakuwa sponsered na serikali, ya tatu ni kwa kuomba direct chuon-hii unaweza itumia kwa kuzingatia matokeo yako (kwa kukidhi vigezo vilivyowekwa na nacte) na ya pili ni kwa kusoma pre-entry course inayotolewa kwa kipindi cha miezi mitatu kama sikosei. Hii njia ya pili inampa mwanafunzi ambaye hajatimiza vigezo kusoma hiyo kozi kisha kufanya mitihan ambapo masomo yanayofundishwa ni English, Math na Physics na watakao faulu mtihan wa mwisho hupata nafasi ya kujiunga na chuo ila anakuwa private sponsership. Nadhan n
Kwa dit kuna njia tatu za kujiunga na diploma, ya kwanza ni kwa wale wanaokuwa select direct kutoka kidato cha nne hawa wanakuwa sponsered na serikali, ya tatu ni kwa kuomba direct chuon-hii unaweza itumia kwa kuzingatia matokeo yako (kwa kukidhi vigezo vilivyowekwa na nacte) na ya pili ni kwa kusoma pre-entry course inayotolewa kwa kipindi cha miezi mitatu kama sikosei. Hii njia ya pili inampa mwanafunzi ambaye hajatimiza vigezo kusoma hiyo kozi kisha kufanya mitihan ambapo masomo yanayofundishwa ni English, Math na Physics na watakao faulu mtihan wa mwisho hupata nafasi ya kujiunga na chuo ila anakuwa private sponsership. Nadhan nimekuelewesha.

asante sana mkuu
ila nisaidie kama hutojali, Je kama alifaulu vizuri sana form four ila kidato cha sita ndo kafeli?
 
Wakuu poleni na shughuli nzito za kusongesha gurudumu la maendeleo.

Mimi ni muhanga wa matokeo ya kidato cha sita na nimeamua kusoma diploma ya civil engineering ila bado sijajua hasa ni chuo kipi kipo vizuri kwa ajili ya course hii.

Matokeo yangu kidato cha nne nlipata Physics B, chem B+ maths C na english A.

Nisaidieni ushauri.

Asante.
 
Kwa dit kuna njia tatu za kujiunga na diploma, ya kwanza ni kwa wale wanaokuwa select direct kutoka kidato cha nne hawa wanakuwa sponsered na serikali, ya tatu ni kwa kuomba direct chuon-hii unaweza itumia kwa kuzingatia matokeo yako (kwa kukidhi vigezo vilivyowekwa na nacte) na ya pili ni kwa kusoma pre-entry course inayotolewa kwa kipindi cha miezi mitatu kama sikosei. Hii njia ya pili inampa mwanafunzi ambaye hajatimiza vigezo kusoma hiyo kozi kisha kufanya mitihan ambapo masomo yanayofundishwa ni English, Math na Physics na watakao faulu mtihan wa mwisho hupata nafasi ya kujiunga na chuo ila anakuwa private sponsership. Nadhan nimekuelewesha.
Njia ya pre entry ipo vipi?
 
Back
Top Bottom