Ni ofisi gani hiyo?Ukienda ofisi husika unapata details zote sio kazi ngumu. Utakwenda mahakamani kwa kiapo then unarudi ofisini wanakubadilishia
ofisi za serikali zenye kuhusika na utoaji wa vyeti vya ndoa,kuzaliwa na vifo ziko katika makao makuu ya wilaya husikaNi ofisi gani hiyo?
Tayari ameshapewa cheti cha kuzaliwa ?Naomba mwenye kujua utaratibu huo anijuze mfano mtoto kwenye cheti ni Paul Kayuguyugu na Mimi ninataka aitwe Paulo Kayuguyugu.
Mmoja anacho na mwingine ana umri wa siku 14 amepewa cheti alipozaliwa wanakiita eti cha muda!Tayari ameshapewa cheti cha kuzaliwa ?
Wote unahitaji kubadilisha?Mmoja anacho na mwingine ana umri wa siku 14 amepewa cheti alipozaliwa wanakiita eti cha muda!
Ndiyo!Tunaongeza herufi o,tu!Yaani badala ya Paul iwe PauloWote unahitaji kubadilisha?
Nenda ofisi ya usajili pale pale but watakuhitaji uende na hati ya kiapo.Ndiyo!Tunaongeza herufi o,tu!Yaani badala ya Paul iwe Paulo
😂😂😂😂😂😂🚶Ndiyo!Tunaongeza herufi o,tu!Yaani badala ya Paul iwe Paulo
mwanasheria atamwandikia deed poll then ataenda wizara ya ardhi watamsajili shughuli inakua imeushaUnahitaji kwenda kwa Registrar of Titles na vielelezo kamili vikiwemo cheti cha kuzaliwa mtoto; kitambulisho chako baba mtoto na cha mama mtoto; barua ya maelezo kwa nini mnataka kubadilisha jina; barua ya kiapo kwamba wazazi wote wawili mmekubaliana kubadilisha jina la mtoto; barua za wadhamini wawili ambao ni ndugu zenu wazazi waliomuona mtoto alipozaliwa na kwamba ndiye yeye hasa anayebadilishwa jina; na barua ya mjumbe wa unapokaa kuthibitisha kwamba anakufahamu na unayoyasema ni kweli. Utahitajiwa kulipia gharama kidogo za kiutawala.
Unaweza pia kupitia kwa mwanasheria. Hiyo ni rahisi zaidi kwani atashughulikia masuala mengi lakini atakutoza ushuru kwa kazi yake. Hata kama unamtumia mwanasheria, bado utahitaji hivyo vielelezo nilivyovitaja hapo juu. Utakachokuwa umepunguza ni ile bughudha tu ya kuambiwa hivi na vile kwa kuwa mwanasheria ndiye atashughulikia hayo.
Pamoja na kumtumia mwanasheria, siku ya mwisho utahitajiwa kufika wewe mwenyewe na mwanasheria wako kutia sahihi na kuchukua alama za vidole.
lengo la usumbufu wote huo ni nini sasa na wakati maana ni ile ile?Ndiyo!Tunaongeza herufi o,tu!Yaani badala ya Paul iwe Paulo
Baba mtoto nae mshamba jamani, Paulo ndo jina gani sasa? Paul lipo vizuri.Baba ya mtoto anataka aitwe Paulo badala ya Paul