Mi nasoma uhasibu.....ujue nn ni matatizo tu ninayopitia ndo yananifanya niwe na hali iyo ni mawazoPata sick note kutoka kwa daktari. Lakini unauhakika unasomea kitu unachopenda?
Mueleze daktari, kama umemaliza academic modules unaweza kuahirisha practical mpaka utakapokua tayari.Mi nasoma uhasibu.....ujue nn ni matatizo tu ninayopitia ndo yananifanya niwe na hali iyo ni mawazo
chukua msokoto wa bangi, ukifika ulizia vyoo vipo wapi, piga paff mbili anza kazi, mchana piga paff mbili anza kazi, na boss mpe taarifa maana haikatazwi kwenye kuongeza mood ya kazi, kila laheriInabidi nianze field j tatu lakini Nina stress sana naogopa kuharibu kazi za watu huko field nifanyeje alafu mood sina kabisa ya kufanya field.....
Mwanaume yupi? Huyu huyu anayetaka kuongezewa muda au kuna mwingine tena anayewapa watu sonona!Mkuu huyu mwanaume alikupa Nini?....dooh
Mungu akufanyie Wepesi umsahau
Mi nasoma uhasibu.....ujue nn ni matatizo tu ninayopitia ndo yananifanya niwe na hali iyo ni mawazo
Hamna alichonipa rafiki angu maisha nilopitia ujayajua bado Mimi nimeanza chuo t nimekuwa na furaha miez minne t badae wakanichanganya akili nimezunguka kwa waganga nimeombewa yan ungepitia nilopitia mm nazan ungeachaga chuo mda tu.Mkuu huyu mwanaume alikupa Nini?....dooh
Mungu akufanyie Wepesi umsahau
So through that akili hadi Leo haiko poa sana ata mwili hauna nguvu kama mwanzo na hadi Leo sijui alonifanyia ivyo vituko na uyo mwanaum ni hao hao tu walonichanganya ndo walofanya...mi nimemwachia mungu tuHamna alichonipa rafiki angu maisha nilopitia ujayajua bado Mimi nimeanza chuo t nimekuwa na furaha miez minne t badae wakanichanganya akili nimezunguka kwa waganga nimeombewa yan ungepitia nilopitia mm nazan ungeachaga chuo mda tu.
Wametuachanisha ila haikuwa akili ya uyo mwanaume au Mimi coz mi alikuwa akirudi kazini namchukia tu bila sababu nikimfulia nguo zinakauka vizuri ila zinatoa halufu balaa yani kama hazijaoshwa.So through that akili hadi Leo haiko poa sana ata mwili hauna nguvu kama mwanzo na hadi Leo sijui alonifanyia ivyo vituko na uyo mwanaum ni hao hao tu walonichanganya ndo walofanya...mi nimemwachia mungu tu
Mkuu kuna thread nyingine ulielezea matatizo yako ndio unairefer au?Wametuachanisha ila haikuwa akili ya uyo mwanaume au Mimi coz mi alikuwa akirudi kazini namchukia tu bila sababu nikimfulia nguo zinakauka vizuri ila zinatoa halufu balaa yani kama hazijaoshwa.
Kuna siku niliomba mungu asiiangalie suruali yake ya kazini. Niliiosha nikaianika asubuhi akaenda kuichukua kwenye kamba yani suruali ilikuwa chafu sikuamini kilichotokea ujue sio kila mtu anapenda uoe au uolew isitoshe uyo mwanaum wangu amesoma sana ni wivu tu....
Ha ha haMkuu kuna thread nyingine ulielezea matatizo yako ndio unairefer au?
Maana sielewi flow...ghafla naona field mara mwanaume....