Top Thinker
Senior Member
- Sep 8, 2011
- 183
- 125
[expired]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Top Thinker.... Hebu chukua jina lako na apply katika hii issue....
Msichana wa Mkoani..
Personally naona huna sababu za msingi kumuacha ila unataka kumuacha, Yaonesha ni dada mtulivu na mstaarabu na she loves you... na kumuacha unajisikia guilty, ila tu ili kuepesha the guilt that is driving you right now umepost hoping wanajamvi tukushauri muache ili wee umuache na uende kwa Amani... Acha hizo Mkuu kama umeona humpendi tena kua wazi na eleza hivo; thou inabidi uangalie saana dada Dsm kacheza nafasi kiasi gani mpaka wee ukaja na uamuzi huo.
Dada wa Dsm....
...........lol........... She loves you.... Hana lolote na nahisi wee pia you have feelings for her ndo maana umeona hii ni dilema. Ila tu yaonesha you are a good guy for wengine would have played both bila hata kichwa kuuma.
top thinker.... Hebu chukua jina lako na apply katika hii issue....
msichana wa mkoani..
personally naona huna sababu za msingi kumuacha ila unataka kumuacha, yaonesha ni dada mtulivu na mstaarabu na she loves you... Na kumuacha unajisikia guilty, ila tu ili kuepesha the guilt that is driving you right now umepost hoping wanajamvi tukushauri muache ili wee umuache na uende kwa amani... Acha hizo mkuu kama umeona humpendi tena kua wazi na eleza hivo; thou inabidi uangalie saana dada dsm kacheza nafasi kiasi gani mpaka wee ukaja na uamuzi huo.
dada wa dsm....
...........lol........... She loves you.... Hana lolote na nahisi wee pia you have feelings for her ndo maana umeona hii ni dilema. Ila tu yaonesha you are a good guy for wengine would have played both bila hata kichwa kuuma.
AD huyo TT hana lolote hapo anataka tu kulamba kote kote. Hivi kama dame umempenda na unajua na yeye anakupenda achilia mbali kukuheshimu, haiwezekani from nowhere uanze kufikiria kumtosa. Ukaribu wake na huyu dame wa dar ndio unaomfanya aoene umuhimu wa kuwa na kipoozeo, na nionavyo mimi dada wa dar anataka kujaribu bahati na sibu yake hapo na ni wazi uhusiano wake sio serious kivileeeee.
Na suala lingine wakina dada huwa mnashangaza ni hili la uaminifu. Huyo dada anadai boyfriend wake sio mwaminifu, halafu anajilengesha kwa TT huku akijua TT ana mtu, ukiangalia hapo issue si ni ile ile tu kwamba 'wanaume wote tuna tabia sawasawa'?'.
nimeku pm ashadii.
TT naamini huna sababu za msingi za wewe kuachana na huyo GF wako ila tu unajaribu kutumia mapungufu yako ili uweze kutimiza matakwa kwa huyu mwingine ambaye yuko hapa dar ..
lakini unajaribu kutushawishi kwa kuonyesha huna mahusiano na huyo dada lakini haiwezekani kufikia hatua za kuitana majina ya unono kama hamajalishaa unono na kibaya zaidi unataka kutumia nafasi ya yeye kuzinguliwa na bf wake ... kaa ongea na huyo dada wa mbeya ikiwezena mwamishie hapa dar kama uko serious ila kama unataka mitelemko inaumiza
Hii ni hadith ya ku2nga.
ni tamaa tu mbeya tu hapo nlidhani yuko ughaibuni, naona humpendi kwa dhati mapenzi ni kuvumilioana so long wote mnatafuta namna ya kuanza maisha yenu, huyu wa dar atakuharibia kila kitu na abadae atarudiana na mwenzie wewe utabaki zero, kuwa makini, na hao walioawana wakaishi mbali na wapenzi wao au wake zao nao wachukue wengine kwa vile kila mtu yuko mbali? Acha hizo. Kwa akili yako ya mzumbe utawazaje upuuzi kama hivi dunia imejaa magonjwa mengi,ndio kwanza umetoka chuo juzi tu sisi tumetoka zamani zaidi yako hatukuwa na mawazo kama haya. Nyumba haijengwi siku moja.
AD huyo TT hana lolote hapo anataka tu kulamba kote kote. Hivi kama dame umempenda na unajua na yeye anakupenda achilia mbali kukuheshimu, haiwezekani from nowhere uanze kufikiria kumtosa. Ukaribu wake na huyu dame wa dar ndio unaomfanya aoene umuhimu wa kuwa na kipoozeo, na nionavyo mimi dada wa dar anataka kujaribu bahati na sibu yake hapo na ni wazi uhusiano wake sio serious kivileeeee.
Na suala lingine wakina dada huwa mnashangaza ni hili la uaminifu. Huyo dada anadai boyfriend wake sio mwaminifu, halafu anajilengesha kwa TT huku akijua TT ana mtu, ukiangalia hapo issue si ni ile ile tu kwamba 'wanaume wote tuna tabia sawasawa'?'.