Naombeni ushauri

Top Thinker.... Hebu chukua jina lako na apply katika hii issue....

Msichana wa Mkoani..

Personally naona huna sababu za msingi kumuacha ila unataka kumuacha, Yaonesha ni dada mtulivu na mstaarabu na she loves you... na kumuacha unajisikia guilty, ila tu ili kuepesha the guilt that is driving you right now umepost hoping wanajamvi tukushauri muache ili wee umuache na uende kwa Amani... Acha hizo Mkuu kama umeona humpendi tena kua wazi na eleza hivo; thou inabidi uangalie saana dada Dsm kacheza nafasi kiasi gani mpaka wee ukaja na uamuzi huo.

Dada wa Dsm....

...........lol........... She loves you.... Hana lolote na nahisi wee pia you have feelings for her ndo maana umeona hii ni dilema. Ila tu yaonesha you are a good guy for wengine would have played both bila hata kichwa kuuma.
 
Labda ungetoa sababu ambazo wewe unaona ni bora kuachana na huyo wako wa zamani, ningeweza kushauri zaidi. lakini ni sababu za kuwa mbali au zingine za kawaida (sio kucheat) ambazo zinaweza kurekebishika usimuache huyo mwenzako wa zamani wa mbeya. Ukifanya hiyo dhambi ujue ipo siku na wewe itakutafuna, haiwezi kukuacha hivihivi, Isitoshe huyo wa DSM bado anampenda wake na wanaweza kurudiana au ukajakuta hata kama ukimchukua huyo jamaa anaweza akaendelea kumgonga wakati upo naye. Kifupi linda mali yako ya siku nyingi achana na mali za mpito.
 
Mbona hueleweki?
Acha kutanga tanga na mapenzi. Utaishia kubaya.
 
Top Thinker.... Hebu chukua jina lako na apply katika hii issue....

Msichana wa Mkoani..

Personally naona huna sababu za msingi kumuacha ila unataka kumuacha, Yaonesha ni dada mtulivu na mstaarabu na she loves you... na kumuacha unajisikia guilty, ila tu ili kuepesha the guilt that is driving you right now umepost hoping wanajamvi tukushauri muache ili wee umuache na uende kwa Amani... Acha hizo Mkuu kama umeona humpendi tena kua wazi na eleza hivo; thou inabidi uangalie saana dada Dsm kacheza nafasi kiasi gani mpaka wee ukaja na uamuzi huo.

Dada wa Dsm....

...........lol........... She loves you.... Hana lolote na nahisi wee pia you have feelings for her ndo maana umeona hii ni dilema. Ila tu yaonesha you are a good guy for wengine would have played both bila hata kichwa kuuma.

AD huyo TT hana lolote hapo anataka tu kulamba kote kote. Hivi kama dame umempenda na unajua na yeye anakupenda achilia mbali kukuheshimu, haiwezekani from nowhere uanze kufikiria kumtosa. Ukaribu wake na huyu dame wa dar ndio unaomfanya aoene umuhimu wa kuwa na kipoozeo, na nionavyo mimi dada wa dar anataka kujaribu bahati na sibu yake hapo na ni wazi uhusiano wake sio serious kivileeeee.

Na suala lingine wakina dada huwa mnashangaza ni hili la uaminifu. Huyo dada anadai boyfriend wake sio mwaminifu, halafu anajilengesha kwa TT huku akijua TT ana mtu, ukiangalia hapo issue si ni ile ile tu kwamba 'wanaume wote tuna tabia sawasawa'?'.
 
Nimekumbuka mziki wa ngwea, dame kaenda kwa ngwea then anaanza kumkandia mpenzi wake, hapo si ni kama anakwambia umtokee tu. Like mother like daughter. Teteteteeeeeeeeeee!
 
top thinker.... Hebu chukua jina lako na apply katika hii issue....

msichana wa mkoani..

personally naona huna sababu za msingi kumuacha ila unataka kumuacha, yaonesha ni dada mtulivu na mstaarabu na she loves you... Na kumuacha unajisikia guilty, ila tu ili kuepesha the guilt that is driving you right now umepost hoping wanajamvi tukushauri muache ili wee umuache na uende kwa amani... Acha hizo mkuu kama umeona humpendi tena kua wazi na eleza hivo; thou inabidi uangalie saana dada dsm kacheza nafasi kiasi gani mpaka wee ukaja na uamuzi huo.

dada wa dsm....

...........lol........... She loves you.... Hana lolote na nahisi wee pia you have feelings for her ndo maana umeona hii ni dilema. Ila tu yaonesha you are a good guy for wengine would have played both bila hata kichwa kuuma.

nimeku pm ashadii.
 
kijana wewe unaleta classic case ya kwa nini long distance relationships dont work. wewe ni mwanadau na kuwa lonely ni natural.
sasa bwana ukweli wa mambo ni kwamba long distance realtionships dont work, anayesema kuwa zinawork basi anadanganya au hajui kuwa mwenzie upande wa pili anamsaliti. kusudi kuu la mahusiano ni kuwa na mpenzio pembeni ambaye wakati wowote unaweza kuwa nae na kukuliwaza...sasa kwa sababu demu wako hayupo hapo dar na u r lonely basi ndio maana nawe umeanza kumpenda huyu demu.

sasa basi mii nakushauri hivi: wewe mwambie huyo demu wako wa mbeya kuwa this relationship wont work na kwamba mkiendelea mtakuwa wote mnajitia majaribuni na hivyo basi ni bora mwende separate ways. nivigumu kwake kulikubali hilo lakini na kwambia kabisa kuwa honesty yako ataipenda. baada ya kumwambia uamuzi wako basi sasa wewe endelea na huyo dada wa dar.
all the best!!
 
AD huyo TT hana lolote hapo anataka tu kulamba kote kote. Hivi kama dame umempenda na unajua na yeye anakupenda achilia mbali kukuheshimu, haiwezekani from nowhere uanze kufikiria kumtosa. Ukaribu wake na huyu dame wa dar ndio unaomfanya aoene umuhimu wa kuwa na kipoozeo, na nionavyo mimi dada wa dar anataka kujaribu bahati na sibu yake hapo na ni wazi uhusiano wake sio serious kivileeeee.

Na suala lingine wakina dada huwa mnashangaza ni hili la uaminifu. Huyo dada anadai boyfriend wake sio mwaminifu, halafu anajilengesha kwa TT huku akijua TT ana mtu, ukiangalia hapo issue si ni ile ile tu kwamba 'wanaume wote tuna tabia sawasawa'?'.

Nimependa mtazamo wako thou nataka kuongezea... Nitarudi Mkuu...

nimeku pm ashadii.

Nimeona PM... Sorry will get back to you as soon as possible.
 
NI TAMAA TU MBEYA TU HAPO nlidhani yuko ughaibuni, naona humpendi kwa dhati mapenzi ni kuvumilioana so long wote mnatafuta namna ya kuanza maisha yenu, huyu wa dar atakuharibia kila kitu na abadae atarudiana na mwenzie wewe utabaki zero, kuwa makini, na hao walioawana wakaishi mbali na wapenzi wao au wake zao nao wachukue wengine kwa vile kila mtu yuko mbali? acha hizo. kwa akili yako ya mzumbe utawazaje upuuzi kama hivi dunia imejaa magonjwa mengi,ndio kwanza umetoka chuo juzi tu sisi tumetoka zamani zaidi yako hatukuwa na mawazo kama haya. nyumba haijengwi siku moja.
 
TT naamini huna sababu za msingi za wewe kuachana na huyo GF wako ila tu unajaribu kutumia mapungufu yako ili uweze kutimiza matakwa kwa huyu mwingine ambaye yuko hapa dar ..

lakini unajaribu kutushawishi kwa kuonyesha huna mahusiano na huyo dada lakini haiwezekani kufikia hatua za kuitana majina ya unono kama hamajalishaa unono na kibaya zaidi unataka kutumia nafasi ya yeye kuzinguliwa na bf wake ... kaa ongea na huyo dada wa mbeya ikiwezena mwamishie hapa dar kama uko serious ila kama unataka mitelemko inaumiza
 
TT naamini huna sababu za msingi za wewe kuachana na huyo GF wako ila tu unajaribu kutumia mapungufu yako ili uweze kutimiza matakwa kwa huyu mwingine ambaye yuko hapa dar ..

lakini unajaribu kutushawishi kwa kuonyesha huna mahusiano na huyo dada lakini haiwezekani kufikia hatua za kuitana majina ya unono kama hamajalishaa unono na kibaya zaidi unataka kutumia nafasi ya yeye kuzinguliwa na bf wake ... kaa ongea na huyo dada wa mbeya ikiwezena mwamishie hapa dar kama uko serious ila kama unataka mitelemko inaumiza

nimepata ushauri wako kaka.
 
ni tamaa tu mbeya tu hapo nlidhani yuko ughaibuni, naona humpendi kwa dhati mapenzi ni kuvumilioana so long wote mnatafuta namna ya kuanza maisha yenu, huyu wa dar atakuharibia kila kitu na abadae atarudiana na mwenzie wewe utabaki zero, kuwa makini, na hao walioawana wakaishi mbali na wapenzi wao au wake zao nao wachukue wengine kwa vile kila mtu yuko mbali? Acha hizo. Kwa akili yako ya mzumbe utawazaje upuuzi kama hivi dunia imejaa magonjwa mengi,ndio kwanza umetoka chuo juzi tu sisi tumetoka zamani zaidi yako hatukuwa na mawazo kama haya. Nyumba haijengwi siku moja.

nimekupata mtumishi, may be huwezi amini, ila ushauri wako umeniingia moyoni. Thanks sana.
 
Na wasiwasi na wewe utakuwa unapenda WAJANE tu.yani unakimbilia WAJANE...labda ndo kipaji chako.mana unataka kumwacha mpenzi wa kwa ajili ya mang'aa flani.
 
AD huyo TT hana lolote hapo anataka tu kulamba kote kote. Hivi kama dame umempenda na unajua na yeye anakupenda achilia mbali kukuheshimu, haiwezekani from nowhere uanze kufikiria kumtosa. Ukaribu wake na huyu dame wa dar ndio unaomfanya aoene umuhimu wa kuwa na kipoozeo, na nionavyo mimi dada wa dar anataka kujaribu bahati na sibu yake hapo na ni wazi uhusiano wake sio serious kivileeeee.

Na suala lingine wakina dada huwa mnashangaza ni hili la uaminifu. Huyo dada anadai boyfriend wake sio mwaminifu, halafu anajilengesha kwa TT huku akijua TT ana mtu, ukiangalia hapo issue si ni ile ile tu kwamba 'wanaume wote tuna tabia sawasawa'?'.


Para ya juu ni maoni yako which you are entitled to.... Hio nilo color... Sijui kwanini in most cases guys think that a lady does not know what she wants (yawezekana in most cases ni kweli) BUT huyu dada wa Top Thinker is into the guy; That guaranteed, kwanza ukute alikua hana hata huyo boyfriend ila sababu kashindwa jinsi ya kumuingia Top Thinker, kaona aseme hivo kama vile kumfungua akili jamaa, ili aone kua she is a free person. Na kama ulivoona it has worked mpaka Top T anawaza kumuacha wa Mkoani....
 
Fimbo ya mbali haiui nyoka ni msemo. kama kweli unampenda uliyenaye unbali siyo tatizo. Huyo mwingine isije kuwa anatafuta njia ya kuharibu penzi lenu. Take care.....
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom