Wataalamu naombeni ushauri. mimi kwa hela niliyo nayo siwezi agiza gari nje sana sana nitachukua showrooms au nitamvua mtu. sasa nishaurini ni vitu gani vya msingi natakiwa kuwa makini navyo hasa nitakapoamua kununua gari kutoka kwa mtu binafsi? na kama ni showroom ni zipi ambazo ziko fresh kiuaminifu na kigharama? asanteni kwa ushauri wenu.