Franc chaula
Member
- Feb 8, 2013
- 6
- 1
mimi ni mwanafunzi wa chuo,
huwa napata shida kutafuta kazi pindi napomaliza field zangu,naombeni ushauri nifanye nini au hata mahali kazi zinapopatikana ila ziwe za muda mfupi wa likizo sababu mimi bado mwanafunzi.
huwa napata shida kutafuta kazi pindi napomaliza field zangu,naombeni ushauri nifanye nini au hata mahali kazi zinapopatikana ila ziwe za muda mfupi wa likizo sababu mimi bado mwanafunzi.