Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,641
- 6,807
Hakufai huyo ana pepo la ngono mkuu, ktk siku saba za wiki umemgida mara 6? Hatari kuliko neno lenyewe. Kwa wengine ndani ya wiki hiyo atakuwa amegidwa mara ngapi?
usipoacha ujinga utaumia utachakaa, narudia tena utaumia utachakaa. kalaga bhahoSasa cha ajabu leo nilikua nae na nimeshiriki nae tendo la.ndoa lakini baada ya kumaliza akapogiwa simu na mtu aliyekua amemsevu ONLY YOU
Mbona huo moyo utaumia sana na mapicha picha ya bidadaMkuu moyo wake umeshaanguka kwa huyo binti...wala hahitaji ushauri hapa.
Ukiendelea kukaa naye utalia kiasi kwamba hata njia hatuweza kuiona mwanamke akishakuwa na wanaume wengi na umegundua basi mtoe moyoni mwako huku unaendelea kula Tunda maana ipo siku atondoka mwenyewe so hauhitaji kumfukuza physically ila moyoni mtimue mkuu ili usije kuumia nshakutana na hiyo hali najua nachokisema,kwanza kabisa ukimpenda utateseka maana hautamuamini kamwe, akiwa mbali na upeo macho yako ukatuma text halafu asijibu utaanza kujenga mapichapicha kichwani hautaweza kufanya hata kazi zako, nakwambia tu run for your happiness
Kama anataka kisukari kisichoeleweka aendelee tusure, utamu wote wameumaliza atabaki na sumu tu kama hatajiondoa