mumak
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 1,069
- 661
Mim ni muhitimu wa shahada ya ualimu mwaka 2017 ktk fani ya elimu BaED, sasa kutokana na changamoto za ajira nimewaza vitu vifuatavyo, Kusoma tena certificate ya fani nyingine.
Au
Kufanya biashara!,
Sasa najaribu kuwaza tu nikienda kusoma na pia na huko malengo yasipotimia itakuajee? Na je nikifanya biashara, je mtaji ukiyumba itakuaje? Sasa nipo dilema, naombeni ushauri wenu wadau.
Au
Kufanya biashara!,
Sasa najaribu kuwaza tu nikienda kusoma na pia na huko malengo yasipotimia itakuajee? Na je nikifanya biashara, je mtaji ukiyumba itakuaje? Sasa nipo dilema, naombeni ushauri wenu wadau.