Nawasalimu wakubwa kwa wadogo.
Naandika kwa uchungu sana wakuu, kwanini maisha yamekuwa mateso kwangu hivi au nina mikosi na laana?
Mimi ni kijana wa miaka 22, jinsia Me.
Kitu ambacho nimemshukuru Mungu kunipa akili kiasi ya darasani ambayo kwa sasa ni bora upewe ya maisha.
Nilifanikiwa kufaulu level zangu vizuri, nilitokea shule za kata, Mungu ni mwema kwa ugumu nilifanikiwa kupata ufaulu mzuri O- level nikaenda kusoma A- level, moja ya shule za vipaji maalumu na Mungu hakunitupa nikapata kuchaguliwa University of Dar es salaam( UDSM).
Sasa sijui nimekosea wapi, tangu nimeanza mwaka wa pili ni mikosi tu, nilipata ajali nikapoteza uono kwa left eye, nilipata brain hemorrhage, Dah!
Sikuweza hata kujiandikisha na masomo ya mwaka wa pili, nilikuwa hospital tu. Mpaka September nikawa nimetengamaa kiasi.
Kinachoniumiza najua chuo sina kwakuwa sikutoa taarifa kipindi chote hicho.
Sasa hivi akili inanituma nikaombe chuo wanifikirie, sijui kama inawezekana.
Naombeni mnishauri ndugu zangu kwa michango yenu ya namna yoyote ile.
Ahsante.
Naandika kwa uchungu sana wakuu, kwanini maisha yamekuwa mateso kwangu hivi au nina mikosi na laana?
Mimi ni kijana wa miaka 22, jinsia Me.
Kitu ambacho nimemshukuru Mungu kunipa akili kiasi ya darasani ambayo kwa sasa ni bora upewe ya maisha.
Nilifanikiwa kufaulu level zangu vizuri, nilitokea shule za kata, Mungu ni mwema kwa ugumu nilifanikiwa kupata ufaulu mzuri O- level nikaenda kusoma A- level, moja ya shule za vipaji maalumu na Mungu hakunitupa nikapata kuchaguliwa University of Dar es salaam( UDSM).
Sasa sijui nimekosea wapi, tangu nimeanza mwaka wa pili ni mikosi tu, nilipata ajali nikapoteza uono kwa left eye, nilipata brain hemorrhage, Dah!
Sikuweza hata kujiandikisha na masomo ya mwaka wa pili, nilikuwa hospital tu. Mpaka September nikawa nimetengamaa kiasi.
Kinachoniumiza najua chuo sina kwakuwa sikutoa taarifa kipindi chote hicho.
Sasa hivi akili inanituma nikaombe chuo wanifikirie, sijui kama inawezekana.
Naombeni mnishauri ndugu zangu kwa michango yenu ya namna yoyote ile.
Ahsante.