muke ya muyahudi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 399
- 179
Naombeni ushauri wa master course nzuri ya kuchukua kati ya public administration, sociology na marketing management, mostly in terms of validity ya soko la ajira
Bora hata sociology atleast
kwa ushauri wangu tu usifate sana watu wanasema nini, wewe nadhani mpaka umemaliza hiyo degree ya kwanza nadhani ni mtu mzima unajitambua ni nini unataka....
kwani hata wakati unaanza unasoma degree ya kwanza ulikuja kutuomba ushauri humu????????
Master of Arts in Education hiyo ndo masters kama huna hiyo anza na PGDE then unaandika dissertation unakuwa awarded hii masters.
Hii huwezi kujuta friend. Tena kuna moja matata sasa imefunguliwa duce pale utatoka upo nondo
Karibu mkuu!!!