Naombeni ushauri wa jinsi ya kumfikishia ujumbe Mke Wangu bila kuumiza moyo wake

Duuuh !!! Anaingia bafuni kuoga then anatoka bila kupiga mswaki ""!??

Wonders shall never ends
 
Mtu anaswaki dk 2 kashamaliza,

Alafu asugui meno,, anasugua meno ya sebuleni,,

Ulimi ndio kitu cha kwanza kusugua,, unasugua hadi chozi la mbali linatoka au unajihisi kutapika hapo ndo sawa,,

Mwisho unasugu meno,,

Mswaki inapidi uchakae hadi brash zinapinda,,

Mkuu pia mwambie anyoe na zivuu
meno ya sebuleni
 
Mkiambiwa mkae nao ndani kabla ya kuji commit hamtaki! Mnaleta ulokole haya sasa pambana na hali yako. Demu hakaguliwi kwa kuja kulala kwako weekend na kuodoka au kukutana lodge tu.

Mteke, ishi nae ndani kwa miezi kadhaa kabla hujamuoa (Volunteer Program). It works kama demu anajitegemea mshawishi ukae nae sehemu moja utamjua madhaifu yake yote kabla hata hujalipa mahali.

Wanawake wa sikuhizi ni hovyo sana hasa hawa wa 2000's

daaaah
 
Huyo ni mkeo hakuna haja ya kumuonea wivu. Mpe ukweli ukionesha unakereka na tabia yake, mwambie tu kuwa kinywa chako kinatoa harufu kwakuwa hupigi mswaki Mara kwa Mara,
Kuna haja ya wazazi kufundisha watoto wetu namna ya kupiga mswaki sawa sawa, usafi wa kinywa.
 
Hhahaha heheheh hahaha,hizi tabia kumbe kuna wanawake wanazo Dah!! hapo inabidi uoe tu mke wa pili,halafu uanze kutumia nyagi kuondoa stimu za harufu.

Hizo mambo za kutokuoga mara mbili au kutopiga mswaki ni za wanaume ila kwa wanawake labda wale wa BUSH.Nenda naye taratibu tu.Ila mwambie straight.Yaani ukitaka kudendeka akiwa na harufu unamwambia hapo hapo aende akajiswafishe na akija unakagua kabisa kwamba harufu hamna alafu ndo unambusu.Hayo ndo mapenzi pembeni ya hapo utamchoka mapema sana mkeo huyo
 
Mwambie direct,,, "mama flan unanuka mdomo , hupigi mswaki ipasavyo ! Piga vizuri at least dkk 5-7 sugua ulimi! "

Alafu ww Jenga mazoea ya kupiga mswaki kila baada ya mlo, na usiwe unamkumbusha ama kumwambia afate hiyo ratiba yako ! Atajionea aibu ataanza kuifata !

Ni ngum Sana kumtamkia hayo maneno, atanuna hata wiki , ww usijali ! Atakuja kukaa sawa , utakuja kunishukuru baadae,,,, ni Jambo dogo Sana hili
Sijuhi kama una mke mkuu, kuna hatua katika "mapenzi" hata jina la mke wako mf. Monica huwezi kulitamka....waliooa watakuwa wanaelewa hii kitu sembuse kumwambia "unanuka"
 
Mkiambiwa mkae nao ndani kabla ya kuji commit hamtaki! Mnaleta ulokole haya sasa pambana na hali yako. Demu hakaguliwi kwa kuja kulala kwako weekend na kuodoka au kukutana lodge tu.

Mteke, ishi nae ndani kwa miezi kadhaa kabla hujamuoa (Volunteer Program). It works kama demu anajitegemea mshawishi ukae nae sehemu moja utamjua madhaifu yake yote kabla hata hujalipa mahali.

Wanawake wa sikuhizi ni hovyo sana hasa hawa wa 2000's
Ni kweli Mkuu. Lazima kutest mitambo huku unafanya uchunguzi.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom