Bro duh.... Mbona umeongea kwa ukali. Imagine huyo dada ni mdogo wako au dada yako, ungemuombea hayo unayoyasema hapa....?!Huyu jamaa kichwani hamna kitu? Unadate na mwanamke aliyezaa watoto wawili? Aachane na huyo Dada kudate na mwanamke aliyezaa ni ujinga mkubwa. Mimi yamenikuta hayo. Kuna baradhuli moja hivi la kimbulu liliniletea wenge nomaaaa atafute demu mwingine.
Mbona mnaombea mabaya tu jamani, kawakosea nini dada wa watu....Huyo mazazi mwenzako baadae atakuja kumsumbua sana akiwa kwa huyo mwingine...
Kheri abakie single na mtoto wake tu. maisha yake yote...
Cc: mahondaw
We kama ulikutana nae basi ndio mabahati yako lkn kwa asilimia kubwa wapo ivoMbona mnaombea mabaya tu jamani, kawakosea nini dada wa watu....
Muombeeni neema na maisha mema, mbona kuna watu walishakutana mtu ana watoto na wakaishi kwa amani tu na utulivu....