Habari za leo.
Naomba ushauri, nataka kufanya biashara ya juice ya miwa. Ni hivi sitaifanya mimi nitamuweka kijana afanye. Kwahiyo naomba ushauri juu ya hii biashara ikiwa itaweza kunilipa maana nachukua hela ya mkopo.
Nikiwa na maana kwamba biashara nitakayofanya naitegemea inipe rejesho. Mimi ni mwajiriwa ndio maana nasema nitahitaji nimuweke mtu. Naomba wadau mnishauri.
Nakaribisha mawazo yenu na ikiwa kuna mwenye biashara ambayo ni bora kuliko hii inayotumia mtaji mdogo na inalipa nitashukuru pia.
Nitashukuru kwa ushauri wenu najua mtanipa mawazo mazuri.
Naomba ushauri, nataka kufanya biashara ya juice ya miwa. Ni hivi sitaifanya mimi nitamuweka kijana afanye. Kwahiyo naomba ushauri juu ya hii biashara ikiwa itaweza kunilipa maana nachukua hela ya mkopo.
Nikiwa na maana kwamba biashara nitakayofanya naitegemea inipe rejesho. Mimi ni mwajiriwa ndio maana nasema nitahitaji nimuweke mtu. Naomba wadau mnishauri.
Nakaribisha mawazo yenu na ikiwa kuna mwenye biashara ambayo ni bora kuliko hii inayotumia mtaji mdogo na inalipa nitashukuru pia.
Nitashukuru kwa ushauri wenu najua mtanipa mawazo mazuri.