- Thread starter
- #21
Ni kwelUsije kuwa unachanganya nilichokiandika post #15,nilichosema usirubuniwe na watu wanaouza madawa ya kienyeji kutumia dawa zao bila kujua tatizo lako limefikia stage gani nenda kwenye matibabu ya kisasa utapona,obviously ugonjwa wowote ukiuzembea utakuuwa so usiseme nimekutisha wahi hospital.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk