sidhani, ukifanya casaual survey z PCB across schools, wenye Div 1 ya points 3,4,5,6,7 ni wachache mno. Nenda shule zile 10 bora angalia PCB ni wangapi wako kwenye category hiyo (3,4,5,6,7)................... casual survey anywayUnaweza kuwa nazo hizo na ukakosa vizur. Ukishindwa kupangilia machaguo yako tatizo huanzia hapo. Angeliingiza kcmc au bugando fani ya Lab au Pharmacy asingelikosa moja wapo. Yeye ana 1 ya 9 kuna watu wana 1 nene nene wote wanakimbilia Muhas, Udom na Udsm