Rapherl
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 3,504
- 2,254
Wana Bodi Heshima mbele.....
Mimi nina Dada yangu upande Baba amemaliza chuo mwaka juzi kasoma kapata Shahada ya Uchumi,baada ya hapo akaja hapa DSM akaenda Ofisi flani kuomba kazi matokeo yake akaishia Kuolewa na Huyo Boss,kwanza taarifa za kuolewa zenyewe nilisikia kwenye Bomba tu.
Kilicho niuma zaidi ni hili suala la kuolewa KIUNI kwani yule Boss alienda huko mkoani Kufunga ndoa yeye na Sheikh na rafiki yake,wakafungishwa ndoa hapo nyumbani kwa Mama yake bila mimi kujua na ni mimi na kaka yangu ndo tulikuwa tunagharamia expenses zote za Chuo wakati anasoma lakini hatukupewa taarifa ya NDOA!wakafunga ndoa wakarudi mujini.
Kiukweli mi yule jamaa nilishajua ni muhuni tu kwani badae nilikuja kugundua ana Wake wengine WAWILI!Sasa kashampa mimba kajifungua now jamaa home atulii mara yupo nje akirudi hatulii home na majibu ya nyodo kwa wingi yaani kifupi ni kwamba hamjali tena!na sidhani kama hata Huduma muhimu anampatia mpaka sasa anaweza kusafiri hata mwezi na wala hata asimjulishe Mkewe mpaka wawasiliane na yule Sheikh wake ndo amtafute hewani waongee hivi ndo Ndoa zinakuwaga hivi kweli?
Naombeni ushauri wana jamvi Sister yangu NAMPENDA sana na sijui jinsi ya kumsaidia hajawahi kunipigia simu toka muda huo huwa anawasiliana na Baba.nahisi labda ananionea Aibu kwa mambo aliyofanya.NIFANYAJE wanajamvi?
Mimi nina Dada yangu upande Baba amemaliza chuo mwaka juzi kasoma kapata Shahada ya Uchumi,baada ya hapo akaja hapa DSM akaenda Ofisi flani kuomba kazi matokeo yake akaishia Kuolewa na Huyo Boss,kwanza taarifa za kuolewa zenyewe nilisikia kwenye Bomba tu.
Kilicho niuma zaidi ni hili suala la kuolewa KIUNI kwani yule Boss alienda huko mkoani Kufunga ndoa yeye na Sheikh na rafiki yake,wakafungishwa ndoa hapo nyumbani kwa Mama yake bila mimi kujua na ni mimi na kaka yangu ndo tulikuwa tunagharamia expenses zote za Chuo wakati anasoma lakini hatukupewa taarifa ya NDOA!wakafunga ndoa wakarudi mujini.
Kiukweli mi yule jamaa nilishajua ni muhuni tu kwani badae nilikuja kugundua ana Wake wengine WAWILI!Sasa kashampa mimba kajifungua now jamaa home atulii mara yupo nje akirudi hatulii home na majibu ya nyodo kwa wingi yaani kifupi ni kwamba hamjali tena!na sidhani kama hata Huduma muhimu anampatia mpaka sasa anaweza kusafiri hata mwezi na wala hata asimjulishe Mkewe mpaka wawasiliane na yule Sheikh wake ndo amtafute hewani waongee hivi ndo Ndoa zinakuwaga hivi kweli?
Naombeni ushauri wana jamvi Sister yangu NAMPENDA sana na sijui jinsi ya kumsaidia hajawahi kunipigia simu toka muda huo huwa anawasiliana na Baba.nahisi labda ananionea Aibu kwa mambo aliyofanya.NIFANYAJE wanajamvi?