Kakole
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,094
- 1,743
Wengi wanatamanigi vigari vya kike kama vitz au passo kwa hiyo aingie kwenye mtandao wa kupatana ajikunje amnunulie hata kavitz used wallahi lazima atapewa kitu mubashara siku hiyo.Angalia kwenye mahusiano yenu alikua anapenda kitu kipi sana na ambacho alikua hana, kama kipo ndani ya uwezo wako mchukulie icho mpelekee.