Wakuu ukistaajabu ya bashiru na Membe utayaona ya mabinti Wa Arusha
Nilikutana na binti mmoja mzuri kupita kiasi, binti Huyo ni mmasai Wa Arusha na amemaliza degree UDOM mwaka Jana,
Nilijenga mazoea nae ya kiukaribu zaidi na mwisho Wa siku nikaamua nijirushe hewani nijaribu bahati yangu,
Baada tu ya kumwambia kuna ninempenda na nataka niwe nae kimahusiano , binti huyu bila hata aibu wala haya ya aina yoyote ananiambia eti kwanza nimpe milioni sita afanye biashara kwakua hali ya ajira imekua ngumu,
Binti mwenyewe sio siri ameumbika hata jokate hafui dafu
Mtoto huyo ameumbwa akaumbika kiukweli
Sasa nimemwambia ngoja nijifikirie ntakupa jibu
Wakuu nimewaza hapa nimekosa jibu la kumpa maana hela aliyoniambia ni kubwa tena ukizingatia naweza kumpa halafu akaingia mitini
Anadai kwanza nimpe milioni sita ndipo nitaweza kumfanya chochote nitakacho ikiwezekana hata kumuoa
Wakuu naombeni ushauri nifanyeje?
Kumbe umeshaoa acha tu uchunwe vizuri,,maana na yeye utamtumia tuShida ni kwamba nimeshaoa mi nlitaka awe mchepuko tuu
kama alifuata ushaur huu atakuwa alikula tunda kimasiharaMwandikie cheque kisha isababishe isipite bank kwa kuandika kiasi kikubwa kuliko kiilichopo kwenye acc. Kama ukimpa ijumaa atapata majibu j5, hoping utakuwa umeshafanya yako vya kutosha.
Unatusumbua, hatuna ushauriWakuu ukistaajabu ya bashiru na Membe utayaona ya mabinti Wa Arusha
Nilikutana na binti mmoja mzuri kupita kiasi, binti Huyo ni mmasai Wa Arusha na amemaliza degree UDOM mwaka Jana,
Nilijenga mazoea nae ya kiukaribu zaidi na mwisho Wa siku nikaamua nijirushe hewani nijaribu bahati yangu,
Baada tu ya kumwambia kuna ninempenda na nataka niwe nae kimahusiano , binti huyu bila hata aibu wala haya ya aina yoyote ananiambia eti kwanza nimpe milioni sita afanye biashara kwakua hali ya ajira imekua ngumu,
Binti mwenyewe sio siri ameumbika hata jokate hafui dafu
Mtoto huyo ameumbwa akaumbika kiukweli
Sasa nimemwambia ngoja nijifikirie ntakupa jibu
Wakuu nimewaza hapa nimekosa jibu la kumpa maana hela aliyoniambia ni kubwa tena ukizingatia naweza kumpa halafu akaingia mitini
Anadai kwanza nimpe milioni sita ndipo nitaweza kumfanya chochote nitakacho ikiwezekana hata kumuoa
Wakuu naombeni ushauri nifanyeje?
Malengo yako kwake ni nini. Kama ni kula mzigo tu jiulize ana nini cha zaidi hadi ugharamikie hivyo, tena yakiwa ni malipo ya awali tu kama ya kulipia maombi ya kipatiwa kiwanja ambayo huwa hayarudishwi bila kujali utakipata au la.(unaringa mini Dada, ina TV ndani!!)Wakuu ukistaajabu ya bashiru na Membe utayaona ya mabinti Wa Arusha
Nilikutana na binti mmoja mzuri kupita kiasi, binti Huyo ni mmasai Wa Arusha na amemaliza degree UDOM mwaka Jana,
Nilijenga mazoea nae ya kiukaribu zaidi na mwisho Wa siku nikaamua nijirushe hewani nijaribu bahati yangu,
Baada tu ya kumwambia kuna ninempenda na nataka niwe nae kimahusiano , binti huyu bila hata aibu wala haya ya aina yoyote ananiambia eti kwanza nimpe milioni sita afanye biashara kwakua hali ya ajira imekua ngumu,
Binti mwenyewe sio siri ameumbika hata jokate hafui dafu
Mtoto huyo ameumbwa akaumbika kiukweli
Sasa nimemwambia ngoja nijifikirie ntakupa jibu
Wakuu nimewaza hapa nimekosa jibu la kumpa maana hela aliyoniambia ni kubwa tena ukizingatia naweza kumpa halafu akaingia mitini
Anadai kwanza nimpe milioni sita ndipo nitaweza kumfanya chochote nitakacho ikiwezekana hata kumuoa
Wakuu naombeni ushauri nifanyeje?
eti ndizi na asali kipi kitamu.Amna kitu apo asa wew jitoe ufaam mpe et namsadia ndo utajua Ndiz na asali kip ni kitam
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatusumbua mkuu!! Kweli kabisa hujui cha kufanya hapo! Hadi tukupe ushauri!!?Wakuu ukistaajabu ya bashiru na Membe utayaona ya mabinti Wa Arusha
Nilikutana na binti mmoja mzuri kupita kiasi, binti Huyo ni mmasai Wa Arusha na amemaliza degree UDOM mwaka Jana,
Nilijenga mazoea nae ya kiukaribu zaidi na mwisho Wa siku nikaamua nijirushe hewani nijaribu bahati yangu,
Baada tu ya kumwambia kuna ninempenda na nataka niwe nae kimahusiano , binti huyu bila hata aibu wala haya ya aina yoyote ananiambia eti kwanza nimpe milioni sita afanye biashara kwakua hali ya ajira imekua ngumu,
Binti mwenyewe sio siri ameumbika hata jokate hafui dafu
Mtoto huyo ameumbwa akaumbika kiukweli
Sasa nimemwambia ngoja nijifikirie ntakupa jibu
Wakuu nimewaza hapa nimekosa jibu la kumpa maana hela aliyoniambia ni kubwa tena ukizingatia naweza kumpa halafu akaingia mitini
Anadai kwanza nimpe milioni sita ndipo nitaweza kumfanya chochote nitakacho ikiwezekana hata kumuoa
Wakuu naombeni ushauri nifanyeje?