S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,600
- 32,685
Kama umempenda kweli ingetoa hiyo hela bila kuomba ushauri
Lakini yule mtoto ni mzuri jamani kuna watu wameumbwa wakaumbika dunia hiiHaha huyo demu hakupendi na hajavutiwa na ww, atakuwa na ww ili akuchune tu, si ajabu unaweza toa hela na papuchi usiipate, ukaishia kusepa mwenyewe, ila kama una pesa nyingi za kuchezea na million 6 kwako ni kama tsh 6000 na uko okay kupendewa pesa, basi mpe muafi
Hujajibu swal lakin mkuu amejuaje? kama umeingia na hyo gia kama una hela then katoe hyo mil 6 maana ndio strategy ulioingiliaNdio maana nikaomba ushauri Ila sio siri mtoto Ameumbwa akaumbika
Toa mtaji mkuuUnayo hiyo hela ya kumpa?!
Mimi kuna mtu nilitaka nimpe mtaji wa biashara lkn naona matendo yake yanakatisha tamaa
Mpe tu,kupanga ni kuchaguaWakuu ukistaajabu ya bashiru na Membe utayaona ya mabinti Wa Arusha
Nilikutana na binti mmoja mzuri kupita kiasi, binti Huyo ni mmasai Wa Arusha na amemaliza degree UDOM mwaka Jana,
Nilijenga mazoea nae ya kiukaribu zaidi na mwisho Wa siku nikaamua nijirushe hewani nijaribu bahati yangu,
Baada tu ya kumwambia kuna ninempenda na nataka niwe nae kimahusiano , binti huyu bila hata aibu wala haya ya aina yoyote ananiambia eti kwanza nimpe milioni sita afanye biashara kwakua hali ya ajira imekua ngumu,
Binti mwenyewe sio siri ameumbika hata jokate hafui dafu
Mtoto huyo ameumbwa akaumbika kiukweli
Sasa nimemwambia ngoja nijifikirie ntakupa jibu
Wakuu nimewaza hapa nimekosa jibu la kumpa maana hela aliyoniambia ni kubwa tena ukizingatia naweza kumpa halafu akaingia mitini
Anadai kwanza nimpe milioni sita ndipo nitaweza kumfanya chochote nitakacho ikiwezekana hata kumuoa
Wakuu naombeni ushauri nifanyeje?
Toa mtaji mkuu
Kuna mmoja aliniambia nimnunulie simu wakati simu aliyonayo ameweka password kila konaNimeshaona nitaoteza muda tu
Niletee mimi huku, nampa hiyo hela mama yangu walahi?Wakuu ukistaajabu ya bashiru na Membe utayaona ya mabinti Wa Arusha
Nilikutana na binti mmoja mzuri kupita kiasi, binti Huyo ni mmasai Wa Arusha na amemaliza degree UDOM mwaka Jana,
Nilijenga mazoea nae ya kiukaribu zaidi na mwisho Wa siku nikaamua nijirushe hewani nijaribu bahati yangu,
Baada tu ya kumwambia kuna ninempenda na nataka niwe nae kimahusiano , binti huyu bila hata aibu wala haya ya aina yoyote ananiambia eti kwanza nimpe milioni sita afanye biashara kwakua hali ya ajira imekua ngumu,
Binti mwenyewe sio siri ameumbika hata jokate hafui dafu
Mtoto huyo ameumbwa akaumbika kiukweli
Sasa nimemwambia ngoja nijifikirie ntakupa jibu
Wakuu nimewaza hapa nimekosa jibu la kumpa maana hela aliyoniambia ni kubwa tena ukizingatia naweza kumpa halafu akaingia mitini
Anadai kwanza nimpe milioni sita ndipo nitaweza kumfanya chochote nitakacho ikiwezekana hata kumuoa
Wakuu naombeni ushauri nifanyeje?
Kwanza unaumri gani?Kivipi fafanua!