UP TO DATE
JF-Expert Member
- Apr 20, 2021
- 740
- 898
Asee,pole ndugu,kwani Kenya Wana simu nzuri au rahisi kushinda sisi?,mbona hapa kwetu zpo simu bomba tu au Kama ni kuagiza ungeagiza nje ya Afrika ndugu...
Huo ni uhakika kapigwa...Jf imekuwa ya ajabu sana,mtu anaomba ushauri kwa ajuaye lakini vilaza wanakazana kumwambia kapigwa. Kama hujui kitu kwa nini usipite kimya kimya, unaweza kuwa na la kujifunza pia.
Huo ni uhakika kapigwa...
Kama anabisha atuambie aliagiza kwa kampuni au jina la hilo duka huko Kenya.
Waanike hao jamaa mtandaoni ili wajulikane.Ok sawa, sio shida maadam nina mikono na afya nitapambana nitafute hela niliyoibiwa. Je kuna namna ya kufanya ili ku recover au kuzuia wengine wasiingie kwenye utapeli huu?
Lete full details za hiyo kampuni na ni kiasi gani cha pesa umewatumia ili nikueleze uende wapi utapata msaada sahihi na pesa yako utaipata kama kweli ulideal na kampuni ambayo inatambulika Kenya, na siyo briefcase company.Naombeni ushauri wa nini cha kufanya kwa haraka ili nisipoteze hela ambazo nimezituma kwa a Company in Kenya nimefanya manunuzi ya simu. Katika makubaliano ilikuwa kwamba nilipe advance/deposit ya 50% cost ya simu ili waweze kuituma na nikishaipokea hapa Dar nitalipa balance 50% iliyobaki. Sasa mimi nikafanya kama tulivyokubaliana nikapewa namba ya mpesa nikafanya international transfer na fedha ikapokelewa vizuri na huyu supplier.
Sasa baada ya muda kidogo ananiambia kuwa ili mzigo wangu upelekwe airport niweze kupokea leo Boss wake amemwambia ni lazima nilipe hela yote yaani 100% jambo ambalo limenishtua kwavile 1. Sio makubaliano yetu but 2. Siwezi kuwaamini tena, kama hiyo 50% niliyolipa advance wamebadili terms za biashara je nikimalizia balance nina uhakika gani kuwa nitatumiwa mzigo wangu? Huyu jamaa ananisisitiza nitume hela chap ili mzigo upakiwe kwenye ndege. Kwakweli nimeshtuka nimeamua kutokutuma mpaka wanieleze sababu za kubadilisha terms of business katikati ya process
Ambao mmeshafanya transactions hizi naomba ushauri wa haraka nifanye nini ili nipate either hela zangu au wanipe mzigo wangu kama tulivtokubaliana na ukishafika hapa Dar mimi nipo tayari kulipa balance cash. Maana hayo ndio yalikuwa makubaliano yetu. Nimejaribu kurudisha muamala kwa Mpesa naona mesg inakuja 'transaction failed'
Naomba ushauri wenu kwa haraka ili nisipoteze hela