Naombeni ushauri ndugu zangu.

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
6,495
12,591
habari zenu ndugu zangu?
naomba mnipe ushauri utakaonijenga kwenye hili maana naona lipo juu ya uwezo wangu.
katika safari yangu ya kusaka ajira nilikua natuma applications nyingi tu kabla sijabahatika kupata ajira kwenye kampuni flani ya wachina ambayo mshahara wake ni kama laki hivi kabla ya makato.sasa last two weeks nilifanya skype interview na jamaa flani wa NGO ya waswitzeland na leo wamenitumia email kuwa nimepata ile kazi na mshahara utakua 1.5m na marupurupu mengine na pia kuna training ya week tatu itafanyikia zurich but kituo cha kazi kitakua huko katavi tena vijijini, mkataba wa kazi ni miaka mitatu ila baada ya hapo itategemea na funds za wafadhili.
ushauri ninaoomba hapa ni je niende huko katavi ambako ni vijijini au niendelee kupambana hapa hapa dar kwa mshahara huu wa laki 8 huku nikisoma ramani zingine,maana hii kazi ya sasa ninayofanya ni permanent and pensonable ila hiyo ya ngo ni mkataba wa miaka mitatu?
samahani kwa mwandiko mbaya wakuu.
 
Kula shavu kwa hiyo million na uchafu huku unavuta pumzi, kwanza utakuwa umejiongezea wigo wa watu mbali mbali kukufahama. Sasa km wewe unapenda ujuane na hao wanaokuzunguka tu basi endelea kula mshahara wako wa laki8 yako

Tuyaache kama yalivyo
 
Ila rekebisha hapo kwenye sehemu ya kwanza ya kutaja mshahara wako maana umeandika tu km laki hivi

Tuyaache kama yalivyo
 
Mkuu mimi nitakushauri kulingana na mahitaji yangu kama ningekua Katika nafsi kama yako.

Mimi kama mimi ningeenda huko kwenye 1.5 napiga mpunga chap kwa haraka hiyo miaka mi3 najua nitakua nimeshafikia lengo langu kama wataongeza mkataba itakua fresh zaidi kwa sababu malengo yangu pia ni kuweka miradi yangu maeneo hayo hayo. Hayo ni maoni yangu kulingana na mahitaji yangu hivyo nakushauri pima wewe mwenyewe nini unahitaji katika hilo.

Hmm.. Ila napata kigugumizi training Zurich kituo cha kazi Katavi. Sijui ngoja waje na wengine
 
Kwa uelewa wangu mdogo kuhusu dar ni kuwa maisha yako juu sana japokuwa utakuwa unapata hiyo laki 8 lakini nahisi itakuwa haitoshi kivile kukidhi mahitaji yako

ila katavi maisha ni chini sana kwa salary ya 1.5 na marupu rupu ni nyingi sana, na istoshe ni mkoa unaokuwa kwa sasa so fursa za biashara ni nyingi sana, kwa miaka 3 unaweza kuwa na nyumba yako nzuri katavi mjini pamoja na biashara yako

So hapo cha kuangalia wewe unataka uishi maisha ya namna gani, je kuajiriwa ndio kila kitu katika maisha yako? Hujawahi kutamani kuwa huru kwa kujiajiri? Kama jibu ni hutaki kujiajiri basi we baki tu dar upambane na laki 8 yako ukisubiri pension, ila kama jibu ni tofauti basi katavi panakufaa, kwani kijijini utakuwa na muda mwingi wa ziada tofauti na dar ambao unaweza kuutumia kwenye uwekezaji kama kilimo nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikweli kwenye NGO watakulipa vizur nahao watu wako vizur kwenye malipo yaan waweza kuta marupu marupu inaweza endesha maisha yako huko katav ila mkuuu pesa hiyo baada ya kumaliza mkataba unaweza jiajiri virivyo au unaweza kua unafanya kazi huku mambo mengine unayanzisha ila kama huko kwa wachina unaingiziwa fedha katika mifuko ya jamiii na salio unalo baki nalo baada ya makato nikama laki 7 haina budi kuacha ila kama nipungufu ya hapo kama laki nne,au tano nenda ngo mkuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa hali ya sasa ajira hazitabiliki nakushauri ukomae na ajira yako ya permanent ya laki 8.Ajira za miradi ya wafadhili ni nzuri kama huna ajira rasmi lkn kwa wewe nakushauri baki na ajira yako.
 
BAKI DAR WEWE..HUKO MAPORINI KUFANYAJE SASA?
Nikweli polini lakin kwa maisha ya sasa hakuna poli mkuuu popote kazi Tabia ya wachina noma je hiyo kazi ya permanent unamda gani nayo ila kwa kweli watu mnabahati zenu daaa watu tumesota mpaka basi ila wenzetu mpaka mnachagua kazi ya kufanya kiralaheli ila unatakiwa kufikili kwa kina ili usije juta mkuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari zenu ndugu zangu?
naomba mnipe ushauri utakaonijenga kwenye hili maana naona lipo juu ya uwezo wangu.
katika safari yangu ya kusaka ajira nilikua natuma applications nyingi tu kabla sijabahatika kupata ajira kwenye kampuni flani ya wachina ambayo mshahara wake ni kama laki hivi kabla ya makato.sasa last two weeks nilifanya skype interview na jamaa flani wa NGO ya waswitzeland na leo wamenitumia email kuwa nimepata ile kazi na mshahara utakua 1.5m na marupurupu mengine na pia kuna training ya week tatu itafanyikia zurich but kituo cha kazi kitakua huko katavi tena vijijini, mkataba wa kazi ni miaka mitatu ila baada ya hapo itategemea na funds za wafadhili.
ushauri ninaoomba hapa ni je niende huko katavi ambako ni vijijini au niendelee kupambana hapa hapa dar kwa mshahara huu wa laki 8 huku nikisoma ramani zingine,maana hii kazi ya sasa ninayofanya ni permanent and pensonable ila hiyo ya ngo ni mkataba wa miaka mitatu?
samahani kwa mwandiko mbaya wakuu.
Hao waongo ndugu yangu. Last month mimi nilifanya apl. Nika attach requirements zote

Km wiki hivi kupita,wakantumia emeil et nimebahatika kuipata iyo kazi. Ila inabidi nikachukue training ya wiki mbili kenya. Na nkifika uko watanihudumia malazi na chakula.....ila ada ya iyo training ntajilipia.inacost km USD 50. mshahara watanilipa 5.7ml. Na malupulupu kibao.

Nkajua nimeshaukata, nikawa nimechange, kichani nawaza maisha si ndo ayaa.

Nikawatumia mail nimekubali. Nawasikiliza wao wa-confirm.ili nianze process za kwenda kenya

Wakanipa e-mail ya mawasiliano ya chuoni apo waliponiambia nitaenda kuchukulia iyo training.Na jina la uyo muhusika. Nikatuma mail kwenye iyo email. Km wiki wakanijibu sawa, so niende hadi kenya. wakanipa na bank A/c nitakayoweka iyo ela. Au nitume kwa Western union.

Apo ndo nkashtuka......nikaingia gugo nikakisearch kile chuo.nkakipata.....kumbe ni chuo kikibwa tu sana kenya. Nikatafta mawasiliano yao. Nikayapata.......nikawatumia mail kuuliza. Nikawafowadia na ile mail.
Wakanambia ile ni scam. Wao hawana course km ile. Na hawana training yoyote ya mda mfup ivoo.

Nkawatumia na ile mail ya Kwanza ya mwajiri wangu.....akanambia kua niwe makini cos ata iyo mail ni scam. Mtu iliyemtaja niwasiliane nae hawanae apo chuoni

Km utataka nikufowadie izo mail. Nifate DM.....meib ukajifunza kitu.

Natafuta kazi na bado ni muhanga wa ajira. Ila bado napambana

THNX

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao waongo ndugu yangu. Last month mimi nilifanya apl. Nika attach requirements zote

Km wiki hivi kupita,wakantumia emeil et nimebahatika kuipata iyo kazi. Ila inabidi nikachukue training ya wiki mbili kenya. Na nkifika uko watanihudumia malazi na chakula.....ila ada ya iyo training ntajilipia.inacost km USD 50. mshahara watanilipa 5.7ml. Na malupulupu kibao.

Nkajua nimeshaukata, nikawa nimechange, kichani nawaza maisha si ndo ayaa.

Nikawatumia mail nimekubali. Nawasikiliza wao wa-confirm.ili nianze process za kwenda kenya

Wakanipa e-mail ya mawasiliano ya chuoni apo waliponiambia nitaenda kuchukulia iyo training.Na jina la uyo muhusika. Nikatuma mail kwenye iyo email. Km wiki wakanijibu sawa, so niende hadi kenya. wakanipa na bank A/c nitakayoweka iyo ela. Au nitume kwa Western union.

Apo ndo nkashtuka......nikaingia gugo nikakisearch kile chuo.nkakipata.....kumbe ni chuo kikibwa tu sana kenya. Nikatafta mawasiliano yao. Nikayapata.......nikawatumia mail kuuliza. Nikawafowadia na ile mail.
Wakanambia ile ni scam. Wao hawana course km ile. Na hawana training yoyote ya mda mfup ivoo.

Nkawatumia na ile mail ya Kwanza ya mwajiri wangu.....akanambia kua niwe makini cos ata iyo mail ni scam. Mtu iliyemtaja niwasiliane nae hawanae apo chuoni

Km utataka nikufowadie izo mail. Nifate DM.....meib ukajifunza kitu.

Natafuta kazi na bado ni muhanga wa ajira. Ila bado napambana

THNX

Sent using Jamii Forums mobile app
hawa sio matapeli,maana hata interview nimefanya nao na hawajanidai kitu mpaka sasa
 
habari zenu ndugu zangu?
naomba mnipe ushauri utakaonijenga kwenye hili maana naona lipo juu ya uwezo wangu.
katika safari yangu ya kusaka ajira nilikua natuma applications nyingi tu kabla sijabahatika kupata ajira kwenye kampuni flani ya wachina ambayo mshahara wake ni kama laki hivi kabla ya makato.sasa last two weeks nilifanya skype interview na jamaa flani wa NGO ya waswitzeland na leo wamenitumia email kuwa nimepata ile kazi na mshahara utakua 1.5m na marupurupu mengine na pia kuna training ya week tatu itafanyikia zurich but kituo cha kazi kitakua huko katavi tena vijijini, mkataba wa kazi ni miaka mitatu ila baada ya hapo itategemea na funds za wafadhili.
ushauri ninaoomba hapa ni je niende huko katavi ambako ni vijijini au niendelee kupambana hapa hapa dar kwa mshahara huu wa laki 8 huku nikisoma ramani zingine,maana hii kazi ya sasa ninayofanya ni permanent and pensonable ila hiyo ya ngo ni mkataba wa miaka mitatu?
samahani kwa mwandiko mbaya wakuu.
Mkuu nakushauri uende katavi I have been there kuna fursa nyingiiii tena za kilimo cha u futa onyo usipende kuparamia wake /mabint za watu bila kupata muongozo wa wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nashangaa sana upo kwa wawekezaji wageni haswa hao 'wachina' halafu unasema ni 'permanent'?? Hakuna u-permanent wowote hapo,wakiamua kukutimua ni sekunde yeyote. Umepata kazi unayoenda piga double ya salary ya sasa tena kijijini kwenye fursa za kilimo halafu unajishauri? Labda kama unawazia familia yako na vitu kama hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom