Naombeni ushauri mpenzi wangu ameniblock kwenye namba zote na nikimpigia kwa simu nyingine hapokei!

Naomben mnishauri nilikuwa na mpenz nimekaa naye miaka minne kwanzia nikiwa first year had nahitimu, yeye alikuwa certificate. Ila sas amebadilika sana ananiumiza sana akili! Kwa sabab nampenda sana! Japo hakuna anayejua nyumban kwa wazaz hata mmja zaid sana anajua geto kwangu! Hvi majuz tumekosana nikamuomba msamaha akanisamehee, akaja kunikosea na yeye akavizia wakat sipo akaja geto akaanza kufua na kuniletea vest kisha akaniomba msamahaa! Baada ya hapo ameanza kuchange anakasirika bila sababu nikimpigia sim anakuaa na haraka ya kukata! Kwa sas anauza duka la mtu na mm ninafundisha ! Nimemuomba aje auze duka langu hatak! Juz aliniambia nataka kwenda kanisan kwenye mkesha ila kwa sabab ya kuwa amebadilika nikamwambia kawadanganye watoto! Maana jana yake nilimwambia nimuone akaniambia amenyimwa na mwajiri wake iweje kesho yake aniambia anaenda mkesha! Mm nikamwambia kawadanganye watoto! Jana amechange kabsa anasema tuna mapenz ya kitto ya kuchungana na bora tuachane! Nikamwambia nisamehee hatak nimempgia simu usiku kucha hapokei leo nimempigia mchana kutwa akaniblock! Na sim ya mtu mwngine hapokei! Naomben ushauri wapendwa hapo nifanyaje? Wakat nampenda sana na nilimpromis mwez wa tatu nimlipie arudie mtihani wa form four koz ya certificate yakre ni mbov anaogopa kuomba kazi kwa sabab ya matokeo yake! Nishaurin wapendwa maana nimepgwa block na namuomba sana Mungu amrudishe kwangu!


Sent from my iPhone using JamiiForums
=>Epuka kuwekeza moyo wako kwa mwanamke.
=>epuka kuwekeza pesa kwa mwanamke
=>jitahidi sana asijue hisia zako kama kweli wampenda/usieleweke ili asiweze kucheza na saikolojia yako kama mwanaume
=>epuka kuomba misamaha kila wakati bila ya sababu zenye mashiko√√


Mkuu samahani kwa kukuorodheshea haya mambo, nahisi lengo la kuanzisha uzi hapa forum, ni kwaajii ya kuhitaji msaada wa mawazo,,,,

Ila ukweli ni kwamba ukiona manyoya ujue kuna ndege kashaliwa hata usiulize nduguyangu,


yaan hata uwe ume mpenda vipi, uwe ume msomesha vipi na kumjali katika shida zake zote hakikaaaaa nakwambia kama ana hulka ya kulipa mateke atakulipa mateketu.....


Bro/nduguyangu/mtanzania mwenzangu, hebu muache huyo mwanamke asiwazibie wengine nafasi, wanawake ni weeeeeengi sana mpaka wengine wanakosa vijana wa kuwaoa, muache aende huyo ashampata mwingine japo najua ningumu kumsahau, ila kubaliana na hali, ikumbukwe kua kila kinacho tokea hutokea kwa sababu, maybe God want you to meet the right choice for you, usimbembeleze narudia kwa mara nyingine, muache kwakua mapenzi sio vita, ni makubalianitu, nahisi amechagua, mapenzi ya mwanzoni yale ya motomoto yanampa muhemko bado...

Atakukumbuka.....
La maana muombee uzima, hakika udimpigie simu, usimtumie ujumbe, hata sslama ya aina yiyote.


Endelea kulijenga taifa la tanzania, jamii inatutegemea sote achana nae, kubari matokeo kama kweli we ni mshindani mzuri.


Hope you have understood what I wanted to express out to you, kazi kwako sasa..

By kanchibay

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya kitu kimoja tu
Jizue kumtafta kama mwez mmoja hivi asipokutafta jua sio wako Hugo ila akikutafta jua ni wako huyo ila akikutafuata ile Mara ya 1 usimshobokee sana mfano akipga cm usipokee akituma text usimjubu hata kwa mwezi 1 tena mwingne atanyooka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana nae kabisa huyo, kama kwenye mahusiano habadiliki bado anaenda clubs na ww hupendi basi moja kwa moja hamuendani.

Tafuta mwingine unaependezwa nae, usje jilazimisha ukamuoa eti atabadilika aise nikwambie utajuta utakuwa unatoa milio tu kama ya sumsung.
Heri umtose japo utaumia lakin yatapita.

Eti milio tu kama ya samsung

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli elimu ya siku hizi..mmmh..una degree then unateswa na form four failure!..Unaweza ukasema mapenzi hayana elimu lkn thinking capacity yako inaonekana ipo chini mno!..Mbona ipo wazi kabisa anakuona wewe kama bwege vile..usinichukie nakupa ukweli..ulichoandika hapa kinatakiwa kiandikwe na kijana anayemaliza form four au chini yake!..nina uhakika una late 20s..Ulitaiwa uwe umeshavuka hizi sarakasi!am sorry kama utakwazika ila umechelewa sana kupevuka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kwa SANGOMA kamloge,kwan huna hata chupi yake au nguo yake yoyote ndani kwako?? Wanawake kama hao dawa yao nikuwa jeuri zaidi yao... Nenda kwa SANGOMA piga kipapai ata bleed mwezi mzima bila yakupumzika,au ataoteshwa tende kwenye mguu... Hawa mademu wakati mwingine unakua kauzu zaidi yao tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
=>Epuka kuwekeza moyo wako kwa mwanamke.
=>epuka kuwekeza pesa kwa mwanamke
=>jitahidi sana asijue hisia zako kama kweli wampenda/usieleweke ili asiweze kucheza na saikolojia yako kama mwanaume
=>epuka kuomba misamaha kila wakati bila ya sababu zenye mashiko√√


Mkuu samahani kwa kukuorodheshea haya mambo, nahisi lengo la kuanzisha uzi hapa forum, ni kwaajii ya kuhitaji msaada wa mawazo,,,,

Ila ukweli ni kwamba ukiona manyoya ujue kuna ndege kashaliwa hata usiulize nduguyangu,


yaan hata uwe ume mpenda vipi, uwe ume msomesha vipi na kumjali katika shida zake zote hakikaaaaa nakwambia kama ana hulka ya kulipa mateke atakulipa mateketu.....


Bro/nduguyangu/mtanzania mwenzangu, hebu muache huyo mwanamke asiwazibie wengine nafasi, wanawake ni weeeeeengi sana mpaka wengine wanakosa vijana wa kuwaoa, muache aende huyo ashampata mwingine japo najua ningumu kumsahau, ila kubaliana na hali, ikumbukwe kua kila kinacho tokea hutokea kwa sababu, maybe God want you to meet the right choice for you, usimbembeleze narudia kwa mara nyingine, muache kwakua mapenzi sio vita, ni makubalianitu, nahisi amechagua, mapenzi ya mwanzoni yale ya motomoto yanampa muhemko bado...

Atakukumbuka.....
La maana muombee uzima, hakika udimpigie simu, usimtumie ujumbe, hata sslama ya aina yiyote.


Endelea kulijenga taifa la tanzania, jamii inatutegemea sote achana nae, kubari matokeo kama kweli we ni mshindani mzuri.


Hope you have understood what I wanted to express out to you, kazi kwako sasa..

By kanchibay

Sent using Jamii Forums mobile app

Asante sana tena mno nimekupata na nitafanya hayo kabsa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom