Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi , waswahili wanasema, yuko juu yangu. Ananiheshimu sana nami namuheshimu.
Tatizo ni kuwa kwa kuwa anasauti basi hata mambo ya ndoa/unyumba anaamua yeye lini na saa nagapi, hili limenifanya ni kose raha ya ndoa kwa sababu mimi kwa kweli nahitaji mapenzi at leat 3 times per week, yeye akiamua at least once per three weeks, unaweza kuona changamoto ninayo pitia. last two months, nilivunja ukimya- matokeo nikajaza watu, nilicho fanya- nilirarua pedo yake ya jeans aliyo lala nayo. alipiga mayowe sana, infact watu walijaa nje. nikamzuia asitoke kwenda kwao bse alitaka kuondoka usiku huo huo. jamaani ni serius case . please tusaidiane cha kufanya.!!
Tatizo ni kuwa kwa kuwa anasauti basi hata mambo ya ndoa/unyumba anaamua yeye lini na saa nagapi, hili limenifanya ni kose raha ya ndoa kwa sababu mimi kwa kweli nahitaji mapenzi at leat 3 times per week, yeye akiamua at least once per three weeks, unaweza kuona changamoto ninayo pitia. last two months, nilivunja ukimya- matokeo nikajaza watu, nilicho fanya- nilirarua pedo yake ya jeans aliyo lala nayo. alipiga mayowe sana, infact watu walijaa nje. nikamzuia asitoke kwenda kwao bse alitaka kuondoka usiku huo huo. jamaani ni serius case . please tusaidiane cha kufanya.!!