Naombeni ushauri/mke wangu "ana sauti" kwangu

masige

New Member
Sep 16, 2011
1
1
Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi , waswahili wanasema, yuko juu yangu. Ananiheshimu sana nami namuheshimu.

Tatizo ni kuwa kwa kuwa anasauti basi hata mambo ya ndoa/unyumba anaamua yeye lini na saa nagapi, hili limenifanya ni kose raha ya ndoa kwa sababu mimi kwa kweli nahitaji mapenzi at leat 3 times per week, yeye akiamua at least once per three weeks, unaweza kuona changamoto ninayo pitia. last two months, nilivunja ukimya- matokeo nikajaza watu, nilicho fanya- nilirarua pedo yake ya jeans aliyo lala nayo. alipiga mayowe sana, infact watu walijaa nje. nikamzuia asitoke kwenda kwao bse alitaka kuondoka usiku huo huo. jamaani ni serius case . please tusaidiane cha kufanya.!!
 
Kama uliruhusu hayo miaka 3 iliyopita leo unageuka vipi kudai haki yako? Shuntama.
 
Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi , waswahili wanasema, yuko juu yangu. Ananiheshimu sana nami namuheshimu.

Tatizo ni kuwa kwa kuwa anasauti basi hata mambo ya ndoa/unyumba anaamua yeye lini na saa nagapi, hili limenifanya ni kose raha ya ndoa kwa sababu mimi kwa kweli nahitaji mapenzi at leat 3 times per week, yeye akiamua at least once per three weeks, unaweza kuona changamoto ninayo pitia. last two months, nilivunja ukimya- matokeo nikajaza watu, nilicho fanya- nilirarua pedo yake ya jeans aliyo lala nayo. alipiga mayowe sana, infact watu walijaa nje. nikamzuia asitoke kwenda kwao bse alitaka kuondoka usiku huo huo. jamaani ni serius case . please tusaidiane cha kufanya.!!

aiseeee!,..mnaheshimiana sana na huku mnafanyiana hayo(labda ndio heshima ya ndoa bana),....nachohisi hapa huyu shemeji yetu either sio mwaminifu kwenye ndoa yenu au ni mbabe na wewe ni ndio mama,.....anyway pole sana mkuu na endelea kupambana
 
Kama uliruhusu hayo miaka 3 iliyopita leo unageuka vipi kudai haki yako? Shuntama.

hapo sasa 3yrs unafanyiwa kitu usichokipenda halafu bado unajikausha,.....mimi hizi ndoa bana zinaniacha hoi bin taaban,...sijui!
 
Kila mtu ndoa yake ina matatizo.
Huyu mkewe mbea,mkorofi,mchafu,kicheche,mtawala nk
Mara mume wangu mlevi,mbabe,hawezi kazi nk.
Ni nani alie na furaha kwenye ndoa yake? mikono juu tafadhali.
 
hapa ndipo namkumbuka Martin Lawrence ktk Badboys 1 movie,..."that is marriage, you sleep with a woman but you don't get" I know one fella had the same issue na mkewe, alitoka nje na akahakikikisha mkewe kajua, na mkewe alivyo mjinga aliitisha kikao cha wazazi eti kumshtaki mume, on a meeting mke alibwabwaja muda mrefu sana akijua anammaliza mumewe kwa sababu waliokuwepo na wazazi wa wake tu na matron na mumewe, jamaa spoke only two line, na kibao kikamgeukia mwanamke. since then mwanamke alishika adabu yake.
 
Hiyo ndoa au balaa, wanawake wengine wanawafukuza waume zao wenyewe. mpeleke kwa wazazi anakukosesha starehe huyo dada
 
Tatizo naliona unalo mwenyewe coz unakubali kusema mkeo ana sauti zaidi yako. Sasa sijui ndo ana kipato zaidi au anaongea kwa nguvu sana. Kama umekubali endelea na maisha yako ya kukaliwa kama usingekubali wala usingekuja kuomba ushauri hapa coz ungeshajua la kufanya. Mwanamke yoyote ukimpa nafasi lazima akuchezee! We sema tu kama na nguo unamfulia!
 
hapa ndipo namkumbuka Martin Lawrence ktk Badboys 1 movie,..."that is marriage, you sleep with a woman but you don't get" I know one fella had the same issue na mkewe, alitoka nje na akahakikikisha mkewe kajua, na mkewe alivyo mjinga aliitisha kikao cha wazazi eti kumshtaki mume, on a meeting mke alibwabwaja muda mrefu sana akijua anammaliza mumewe kwa sababu waliokuwepo na wazazi wa wake tu na matron na mumewe, jamaa spoke only two line, na kibao kikamgeukia mwanamke. since then mwanamke alishika adabu yake.
Hata mie namsapoti kabisa
 
hapa ndipo namkumbuka Martin Lawrence ktk Badboys 1 movie,..."that is marriage, you sleep with a woman but you don't get" I know one fella had the same issue na mkewe, alitoka nje na akahakikikisha mkewe kajua, na mkewe alivyo mjinga aliitisha kikao cha wazazi eti kumshtaki mume, on a meeting mke alibwabwaja muda mrefu sana akijua anammaliza mumewe kwa sababu waliokuwepo na wazazi wa wake tu na matron na mumewe, jamaa spoke only two line, na kibao kikamgeukia mwanamke. since then mwanamke alishika adabu yake.

Some people have to learn it the hard way...
 
Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi , waswahili wanasema, yuko juu yangu. Ananiheshimu sana nami namuheshimu.

Tatizo ni kuwa kwa kuwa anasauti basi hata mambo ya ndoa/unyumba anaamua yeye lini na saa nagapi, hili limenifanya ni kose raha ya ndoa kwa sababu mimi kwa kweli nahitaji mapenzi at leat 3 times per week, yeye akiamua at least once per three weeks, unaweza kuona changamoto ninayo pitia. last two months, nilivunja ukimya- matokeo nikajaza watu, nilicho fanya- nilirarua pedo yake ya jeans aliyo lala nayo. alipiga mayowe sana, infact watu walijaa nje. nikamzuia asitoke kwenda kwao bse alitaka kuondoka usiku huo huo. jamaani ni serius case . please tusaidiane cha kufanya.!!
Sijui lakini ninahisi mmoja wenu atakuwa sio mwaminifu, maana haiwezekani yaani hadi kwenye tendo la ndoa mnapurukushana namna hiyo achilia mbali hayo mambo mengine.
 
Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi , waswahili wanasema, yuko juu yangu. Ananiheshimu sana nami namuheshimu.

Tatizo ni kuwa kwa kuwa anasauti basi hata mambo ya ndoa/unyumba anaamua yeye lini na saa nagapi, hili limenifanya ni kose raha ya ndoa kwa sababu mimi kwa kweli nahitaji mapenzi at leat 3 times per week, yeye akiamua at least once per three weeks, unaweza kuona changamoto ninayo pitia. last two months, nilivunja ukimya- matokeo nikajaza watu, nilicho fanya- nilirarua pedo yake ya jeans aliyo lala nayo. alipiga mayowe sana, infact watu walijaa nje. nikamzuia asitoke kwenda kwao bse alitaka kuondoka usiku huo huo. jamaani ni serius case . please tusaidiane cha kufanya.!!
Kwa staili hii hapo wala hamuheshimiani wala hakuna hata chembe ya heshima
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi , waswahili wanasema, yuko juu yangu. Ananiheshimu sana nami namuheshimu.

Tatizo ni kuwa kwa kuwa anasauti basi hata mambo ya ndoa/unyumba anaamua yeye lini na saa nagapi, hili limenifanya ni kose raha ya ndoa kwa sababu mimi kwa kweli nahitaji mapenzi at leat 3 times per week, yeye akiamua at least once per three weeks, unaweza kuona changamoto ninayo pitia. last two months, nilivunja ukimya- matokeo nikajaza watu, nilicho fanya- nilirarua pedo yake ya jeans aliyo lala nayo. alipiga mayowe sana, infact watu walijaa nje. nikamzuia asitoke kwenda kwao bse alitaka kuondoka usiku huo huo. jamaani ni serius case . please tusaidiane cha kufanya.!!

Hii taarifa ni fupi mno haitupi taarifa za kutosha kusema chochote. Ila hii ya mke wako kulala na jeans kali! Ila angalia hawachelewi kudai umewabaka hawa hasa ukizingatia kuwa umemchania jeans ikimaanisha kuwa hakuwa tayari kufanywa.
 
1 Corinthians 4-5
Mke hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mumewe anayo; hali kadhalika naye mume, hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mkewe anayo. Msinyimane haki zenu, isipokuwa kama mnaafikiana kufanya hivyo kwa kitambo tu, ili mpate nafasi nzuri ya kusali. Kisha rudianeni tena mara, ili Shetani asije akawajaribu kwa sababu ya udhaifu wenu.
 
Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi , waswahili wanasema, yuko juu yangu. Ananiheshimu sana nami namuheshimu.

Tatizo ni kuwa kwa kuwa anasauti basi hata mambo ya ndoa/unyumba anaamua yeye lini na saa nagapi, hili limenifanya ni kose raha ya ndoa kwa sababu mimi kwa kweli nahitaji mapenzi at leat 3 times per week, yeye akiamua at least once per three weeks, unaweza kuona changamoto ninayo pitia. last two months, nilivunja ukimya- matokeo nikajaza watu, nilicho fanya- nilirarua pedo yake ya jeans aliyo lala nayo. alipiga mayowe sana, infact watu walijaa nje. nikamzuia asitoke kwenda kwao bse alitaka kuondoka usiku huo huo. jamaani ni serius case . please tusaidiane cha kufanya.!!


Mtafutie msaidizi
 
1 Corinthians 4-5
Mke hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mumewe anayo; hali kadhalika naye mume, hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mkewe anayo. Msinyimane haki zenu, isipokuwa kama mnaafikiana kufanya hivyo kwa kitambo tu, ili mpate nafasi nzuri ya kusali. Kisha rudianeni tena mara, ili Shetani asije akawajaribu kwa sababu ya udhaifu wenu.

Quote nzuri, lakini, wanamtukuza Mungu?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom