MOREMI2006
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 551
- 540
Pambana na hali yako Kwa kuwa umelianzisha ww itabidi ulimalize mwenyewe
Hasira za kipigo cha west ham usimhamishie mzinzi wa watuAnatuona wote wasenge humu ndani
Uongo njoo ukweli nenda. Mimi nikituma hela nina la ninayemtumia hutokea, inamaana jina la mkeo lilitokea! Haiwezekani hata ufanye nini, tungo za kitoto hizi.Mke wangu alichukua simu yangu na kufuta namba ya mpenzi wangu mwingine, namba ya Magreth na kuhifadhi namba yake ya kuwa anaitwa Magreth.
Sikujua kuwa kuna mtu alimwambia mke wangu kuhusu Magreth, kisha nikapokea SMS kutoka kwa Magreth akiomba pesa Sh.250,000.
Nilimkimbilia mke wangu kwa kuwa sikuwa na hiyo hela wakati huo na kumdanganya kuwa nahitaji Sh. 250,000 kwa dharura. Nilimwambia kuwa mdogo wangu Rutta anaumwa na anahitaji pesa haraka.
Mke wangu alinipa zile pesa na nikakimbilia kutuma kwenye akaunti namba iliyoandikwa kwenye ule ujumbe.
Nikiwa nimejipumzisha nyumbani baada ya kutoka kazini, niliendelea kuwaza iwapo Magreth alipokea pesa hizo.
Nilimtumia SMS ili kujua kama alikuwa amepokea pesa. Jibu lake lilikuwa, "Nipigie sasa."
Nilitoka nje nyuma ya nyumba kupiga simu.
Weeeeeeh!
Unaweza kufikiria uso wangu wa kutisha ulivyokuwa niliposikia sauti ya mke wangu badala ya Magreth!
Leo ni siku ya tatu bado nimesimama nje.
Sijui jinsi ya kurudi nyumbani kwangu !!!
Ushauri wowote tafadhali ...
Hiyo post nimeweka kabla ya match ya west ham.Hasira za kipigo cha west ham usimhamishie mzinzi wa watu
Hivi tumepigwa idadi sawa ya mabao?Hiyo post nimeweka kabla ya match ya west ham.
Wewe juzi tu umetoka kubakwa na man u.
Picha zingine zinafikirisha!
mimi mzinzi tena?Hasira za kipigo cha west ham usimhamishie mzinzi wa watu
Acha uongo mkuu inamaana muda wote unakuwa na huo mchepuko? Ikitokea umesafiri na anahitaji hiduma yako utafanyaje?Sijawahi kuona mpumbavu Kama wewe.
Simu ya mchepuko unaisave kwa jina la kike?
Huwezi kuishika kwa kichwa?
Halafu siku zote mchepuko anapewa pesa mkononi ku avoid records..
Punguza ukali wa maneno kiongoziHiyo post nimeweka kabla ya match ya west ham.
Wewe juzi tu umetoka kubakwa na man u.
simu yako inatumia solar mkuu?
simu yako inatumia solar mkuu?
Itabidi tu anisubiri nirudi safari. Ukimtumia mchepuko pesa ukiwa safarini ndio anatumia hiyo pesa na ki benten kwa Uhuru zaidi. Tena anakupigia simu kabisa na kukudanganya Yuko kwa mama yake Mbagala. Kumbe anatumbuliwa buguruniAcha uongo mkuu inamaana muda wote unakuwa na huo mchepuko? Ikitokea umesafiri na anahitaji hiduma yako utafanyaje?